Recent content by Long step

  1. Long step

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bet for fun,nimeamini kanji konyo[emoji3][emoji3]
  2. Long step

    Wizara ya Mambo ya Ndani itunge sheria kali kuwabana Bodaboda

    Chuki tu zinawasumbua dadeki zenu,
  3. Long step

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Shinda kwanza,utapata jibu.Usitusumbue na maswali tunakazi nyingi na kanji.
  4. Long step

    Niliyowahi kuyatabiri kuhusu wafanyakazi wa Bandari naona yanaanza kutimia

    Hapo hakuna wafanyakazi,ni wezi tu wamejaa,DP anajua hilo.
  5. Long step

    Shinyanga Mjini ni kelele tu za bodaboda zilizotobolewa exhaust

    Hamia Burundi,kaka[emoji23][emoji23]
  6. Long step

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakina kayombo na genge lake,mawakala humu wapo wengi.Jukwaa linakosa ushindi wa kimbinu.
  7. Long step

    Dunia inajivua gamba kutokana na vita inayoendelea kutokea

    Bro,unapoandika vitu muhimu kama hivyo,uwe maelezo mapana.Maana ni vitu siriaz sana usikurupuke dadavua.
  8. Long step

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha ufala wewe,anzisha platform yako.Unakuwa mbishi kama dem bldfkn zako.
  9. Long step

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha ushamba bro,nenda X au facebook huko.
  10. Long step

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tumekuchoka kaka,kila siku jambo ilo ilo tu,ahaa unaboa unatujazia seva tu.
  11. Long step

    Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

    Achana na hao wanasayansi takataka, sukari muhimu.
  12. Long step

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Fuata sasa codes zake,ndiyo utajua hujui.
  13. Long step

    2025 ni Viiitaaa!

    Fafanua basi mtaalamu,
Back
Top Bottom