Recent content by lonesome

  1. L

    Sera kuu ya CCM ni Dar kwanza, Hongera wamakonde wa Mtwara!!

    huyu jamaa kakurupuka vibaya utadhan alikuwa msalan akashtuliwa katoka hata hajanawa. kaja kaandika mambo ya kipumbavu kabisa. mods hoja kama hiz muwe mnaziban maana ni za kipumbavu hazina hata ufikiriaj wa kina. takataka kabisa haifai hata kwa mbolea au recycling
  2. L

    Dk. Mwakyembe awashukia wapelelezi wa dawa za kulevya nchini

    idawa nashukuru kwa kujaribu kumwelewesha huyu ndugu. maana naona amejitoa akili au amejawa upumbavu. kwanza angepaswa kujua kuwa hiyo ni wizara ya uchukuzi. watu badala ya kuchukua mizigo wanachukua madawa. pil hata kama isingekuwa wizara yake kama wazir mhusika amelala then afanye kaz
  3. L

    Mjadala wa kumtimua Mansour ulivyokuwa Kisiwandui

    yakhe ushapata urojo? nasikia unadumaza hata uwezo wa mambo mengne. nyie wazenj mlikuwa na TV toka zaman. sasa mna nin?
  4. L

    Mjadala wa kumtimua Mansour ulivyokuwa Kisiwandui

    mimi si mkatoriki na mkristo nmesoma shule za kikatorik na serikal. sijawah ona ubaguz.nina rafik wa dini zote ambao wameelimika hatujapata kubaguana. usilete hoja za itikadi mbov mbovu za kilalamish. si wengne tunajiamini
  5. L

    MWAKYEMBE: Viongozi wasiopenda kukaguliwa wasipande ndege [Channel 10]

    afadhar umemsaidia maana kuna watu hawajui hata kuunganisha dots kupata mchoro
  6. L

    Wasifu (CV) wa January Makamba

    umenena vyema sana. JK kaiharib heshima ya urais sasa kila mtu anadhan anaweza kuwa rais. nashangaa na najisikia aibu wanaposema january makamba anataka kugombea. ni aibu hata kupinga nabak natizama tu.mbona watanzania mmekuwa so cheap kias hiki?
  7. L

    Mwakyembe aagiza wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wakamatwe!

    umenena vyema. tumwache dr mwak afanye kaz na kama anatafuta sifa bas ni vyema viongoz wote watafute sifa kwa njia hii ya uchapakaz. watu wanapinga kila kitu kwa sabab za kisiasa na kiuchumi
  8. L

    Mwakyembe anajaribu kuua kichuguu kwa kukamata kumbikumbi?

    tatizo lenu ni kila jambo mnapoleta itikadi za vyama vyenu.so ulitaka amwachie yule mdogo asubir mpaka mkubwa? mpaka leo hujajua kuwa ni samaki mdogo hutumika kukamata samak mkubwa? wewe unamfaham nan muuza madawa ya kulevya upeleke jina lake na ushahid tuone nin kinafanyika.nyie watu gan hamna...
  9. L

    Taarifa ya CUF: Kauli ya Kova juu ya Sheikh Ponda ni ya kumhujumu Rais Kikwete

    huyu kambaya huwa anakurupuka sana. yaan mpaka unahoji elimu yake ikoje?yaan huwa anaZid kuharib kwa matamsh yake.maana hapa anaongea kumtetea JK Kana kwamba yeye ndo msemaj wa CCM au JK .mi ameniacha hoi sana. huyu jamaa ana elimu gani? ya wapi? anafanya kaz gan? mwenyej wa wap? hawez kuwa...
  10. L

    The Ponda Syndrome:- Kama Officially Sio Taifa La Wanafiki Basi We are Almost There!!

    umenena vyema watu ni wanafiki na jambo la ponda wanataka kulifanya kisiasa. mi mpaka nawachukia wtanzania. watakuwa wapumbavu,wanafiki na ndumilakuwil mpaka lini?
  11. L

    Lipumba: Waliohusika na kumpiga risasi Ponda wasakwe na kufikishwa mahakamani

    huyu shabani sijui darasa la saba la uhuru ? maana hata darasa la saba la mkoloni wanajua kuandika. anaandka kiswahili kibovu hakielewek.labda atumie kiarabu.maana anaandika kitu ambacho anakielewa yeye tu basi angalau awe anaomba watu wamwandikie. mkiambiwa mkasome hamtak mnakalia tu kutaka...
  12. L

    Lipumba: Waliohusika na kumpiga risasi Ponda wasakwe na kufikishwa mahakamani

    Lipumba...huyu bwana pamoja na usomi wake but huwa anaongea PUMBA sana. mi siwez kabisa kukaa kumsikiliza LIPUMBa anaongea utadhan mdomon amejaza mate. huwa anakurupuka kutafuta pa kuanzia siku zote. ametoa tamko kwa kuwa anataka sympath toka kwa waislamu mbna hakutoa tamko alipouawa padri?
  13. L

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    dhambi mbaya sana ni hii yako ya uoga. hapa umeonesha upumbavu ashakum si matusi. kwan nawe ilikuwa lazima uchangie kama huna cha kuchangia?mbona yu re so hopeless kias hcho? wa wap wewe? maana huwez kuwa mkristo at all. unaandika kama mtoto mdogo tena wa kike ambaye hukuwa umelelewa ktk mising...
  14. L

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    acha ujinga wewe...nani kawatupia hayo waafrika? na nyie mmekaa kuyadaka? ujinga wenu then mkae kulaumu mataifa yanayoendelea? huo si upumbavu wa waafrika.mtabak kulaumu wenzenu wanaendelea mbele. kuwa mwafrika na kuwa na waafrika walalish is a disgrace kabisa.
Back
Top Bottom