Recent content by Lolen lee5

  1. Lolen lee5

    Ushauri: Uchaguzi wa Nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA ufanyike baada ya Oktoba 2025

    Chakale ni chakavu. Nakama ni chakavu kikalibu na kutoweka. Kwa kipindi ambacho mh mbowe amekiongoza chama nadhani kwa sasa Nimuda muafaka wakukabizi kijiti kwa Lissu au Heche Siyo dhambi mbowe akibaki kama mshauri wa chama. Kama ambavyo chadema wanatamani kushika dora vifvyo hivyo watanzania...
  2. Lolen lee5

    PreGE2025 Mbunge agalagala kwenye mchanga akimuombea Kura Rais Samia

    Anamtabilia kitu mbaya sana aise😵😵
  3. Lolen lee5

    Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

    Mkuu upo Sawa hii siyo tetesi ukweli unajionyesha kule x zamani Twitter machawa wote wa mbowe hakuna hata mmoja anaye posti mikutano ya Lissu zaidi ya waugwana wachache tu Ambao ukiwatizama misimamo yao nizaihili wao ni waumini wa demokrasia ndio pekee wanao msapoti lisu na kuposti mikutano yake
  4. Lolen lee5

    Mbowe anapaswa kukemewa na kila mpenda demokrasia, anaibomoa CHADEMA

    Mkuu upo Sawa kabisa alafu kuna mpumbavu atakuja hapa na povu jingi wakati ukweli upo wazi leo anayesapoti mikutano ya Lissu ni Twaha na Maria kule x wengine wote wamejificha kwenye koti la arakati za kumshambulia ajati wamesahau ya kwao yapo wazi kama nyeo la nyani
  5. Lolen lee5

    Mbowe anapaswa kukemewa na kila mpenda demokrasia, anaibomoa CHADEMA

    Inshu siyo kuondoka mbowe tatizo ni makundi anayoyatengeneza Iri tu awazoofishe washindani wake ndani ya chama. Nani isiyefahamu kuwa chadema Leo hii imegawanyika maKundi2 moja likiongozwa na mbowe na jingine kundi la waungwana limesimama na Lissu Imefikia hatua mpka mikutano ya Lissu wale...
  6. Lolen lee5

    PreGE2025 Mwenezi Makala: Msigwa karibu CCM, huko wanakuonea

    Ndio walewale walafi wa madalaka yaani wanaamini wanaongoza mandondocha na ndiomaana hawamiini katika kushindwa Kwa mtazamo wangu kiongozi kama mbowe akipewa nchi atabadiri katiba iri tu impe uhalali wa kutawala milele. Maana tabia nikama ngozi kamwe uwezi kuibadiri
  7. Lolen lee5

    PreGE2025 Mwenezi Makala: Msigwa karibu CCM, huko wanakuonea

    Msigwa ni mrafi wa madaraka miaka 10 yote hajatosheka kukalia kiti kwamba yeye anaamini kifo tu ndio kinastahili kumuondowa kwenye uongozi vinginevyo hatakiwi kabisa kushindwa. Msigwa anataka atuaminishe kuwa iri uwe mwanasiasa wa Kiafrica nilazima ufikiri kwa kutumia tumbo badala ya kichwa😵...
  8. Lolen lee5

    Mti wenye matunda sharti upigwe mawe

    Mti wenye matunda sharti upigwe mawe ndivyo ilivyo pia kwa kiongozi bora na mzalendo kama MAKONDA Makonda ni miongoni mwa viongozi wachache barani Africa waliotayari kupoteza hata kile walicho nacho kwa ajili ya kuwapigania wananchi wake. Sote nimashaidi tumeishuhudia kazi iliyo tukuka ya P...
  9. Lolen lee5

    Puto la Makonda linakaribia kupasuka?

    Niwaalifu tu na wararushwa ndio mnao mchukia makonda
  10. Lolen lee5

    Puto la Makonda linakaribia kupasuka?

    Acha wivu wewe
  11. Lolen lee5

    Ajabu na kweli hadi muda huu Hakuna Kamanda aliyeturipotia yaliyojiri MwembeYanga kwenye mkutano wa Tundu Lisu!

    Pesa chafu zinafanya kazi nimeona hata kule Twitter x nikama wamemsusa vile hawaja posti kabisa mkutano wake
  12. Lolen lee5

    Makonda anataka apange safu yake Arusha. Rais amempoteza

    Watu mna chuki binafisi na makonda kiricho tokea nijambo la kawaida huwezi kuulizwa swali badala ya kujibu unaanza kujinyentuwa nyentuwa kanakwa unatongozwa eti utazame tu nyooo
  13. Lolen lee5

    Polisi wamkamata Joseph Sanura aka Ngosha, aliyekuwa mpenzi wa Penina wa Goba Centre

    Dunia ya sasa hakuna mapenzi ulimwengu wa leo nibiashara hata yure unaye ishinaye ndani wengi wamekaa kibiashara
  14. Lolen lee5

    Ubadhirifu: Huu ndio Msafara wa Makonda kwenye ziara za Wilayani huko Arusha

    Mkuu upo Sawa ndani ya chadema kuna watu wanaamini bila mbowe hakuna chama. Na unapokutana na kundi la wajinga kama hao maana yake unaweza kuwatawala hata 1000 Jambo la kujiuliza viumbe hawa sijui wanapata wapi uhalali wa kuubiri demokrasia ilihali wao hata misingi ya demokrasia hawataki...
Back
Top Bottom