Recent content by Lole Gwakisa

  1. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Fresh air, Nchimbi kaleta dhamira mpya ya CCM baada ya kubanwa na mabeberu?

    Sina zaidi la kueleza maana mada za Nchimbi jukwaani ni nyingi. Je, kibano cha mabeberu kinafanya kazi yake na watu wanfikiri sawasawa sasa? At any rate , hata Mwalimu mwaka 1977 aliwahi kusema TUJUSAHIHISHE, kama msimamo wa TANU/CCM.
  2. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo akizeeka atahadithia wajukuu zake yeye ndiye mwanaume pekee aliyezuia maandamano ya 7/7

    Kitendo cha kumu overate Mwaipopo, shekhe FEKI wa Mwakaleli , kinaeleza uwezo wako kiakili.
  3. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pendekezo Rahisi: Maneno 3 akiyasema Samia kesho yatazuia Maandamano yasiyo na Ukomo

    Watu walivyo na uchu wa madaraka, hilo halitatokea! Ujue behind the curtain ni JK na Mtandao, wakale wapi?
  4. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania tunajulikana kwa upole lakini this time Serikali haitaamini kitakachotokea

    Kuna watu hawawaelewi watu wa Bara, zinga la nyuki karibu litatibuliwa!
  5. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mpaka sasa, Jakaya Mrisho Kikwete hajalaani mauaji ya WaTanganyika!

    Aende wapi ukimbizi?
  6. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Miezi hii miwili ni ya muhimu sana ili kupata maridhiano ya kisiasa

    Umenena sawa kabisa, siasa hazina autopilot!
  7. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Miezi hii miwili ni ya muhimu sana ili kupata maridhiano ya kisiasa

    Tatizo kubwa ni watu kubadili mindset. Tuelewe kuwa mtu awe CCM, CHADEMA au ACT au NCCR Mageuzi, au asiye na chama kabissa, huyu ni MTANZANIA kama mtu yeyote na ana haki sawa. Nimeona familia fulani watoto wa mzee kila mmoja ana chama chake, na wanaishi nyumba moja.
  8. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Angalizo: Lissu ni kama Magufuli , mihemuko mingi na one-man-show kwa kwenda mbele!

    Wenye masikio na wasikie. Kweli Lissu ni Storm trooper, si generali!
  9. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Mzee wa kichaga kakataa zawadi ya spacio akidai ni magari ya wendawazimu,

    Ha ha ha! Huyo mzee Assey ni mjinga wa wajinga. Mtu huchagui zawadi toka moyoni. Mtoa zawadi hana matatizo na sasa anajua tatizo katika familia ya mke wake iko wapi. Mimi iliwahi nitokea, mkwe(wa mbali kidogo), nilimpelekea zawadi akaishia kunikandia kuwa nisimpekee vizawadi duni na kwamba...
  10. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Mohammed 'Mo' Dewji ametelekeza mashamba ya chai Rungwe, ajira zatoweka

    Haswaa ,MO anahujumu uchumi wa wilaya Rungwe. Mbunhe yupo, Mkuu wa Wilaya yupo, wanafanya nini?
  11. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

    Hapo siyo ukabila, kusifia mkuria jeshini ni mahali pake!
  12. Lole Gwakisa

    JamiiForums Tanzania Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

    Walio zoea kufugwa wana akili kama zako.
Back
Top Bottom