masterp usichezee Asas babaa hawa jamaa ni moto wa kuotea mbali nawafahm siku nyingi sana. IRINGA SALIM ASAS HUWELEZI KITU WANA IRINGA ANAWASAIDIA SANA HATA HUYO MCHUNGAJI WENU ANAMJUWA VIZURI SANA
Magari ya mgombea urais wa Chadema Edward Lowasa yakijaza mafuta kituo cha ASAS siku moja baada ya MCH msigwa kuwataka wafuasi wa chama hicho kususa biashara za
Magari ya mgombea urais wa Chadema Edward Lowasa yakijaza mafuta kituo cha ASAS siku moja baada ya MCH msigwa kuwataka wafuasi wa chama hicho kususa biashara za Asas
white wizard inawauma kuona huyu ASAS ana nguvu kubwa sana iringa. Ama kweli Chadema kiboko yao Asas hapo fikiria wanapambana na mtu binafsi . Hapo bado msigwa hajakutana na moto wa CCm msigwa anakazi sana mwaka huu .
BVR 2015 unajuwa wewe naye ni mjinga sana kama msigwa . Sasa ukinunua au usipo nunua utawapunguzia nini hawa Asas. Kweli Mkapa alikuwa sahihi kuwaita wapumbavu na mlofa. Maskini nyinyi
Huyo mchungaji ni mjinga na mpumbavu. Sasa biashra na siasa wapi na wapi. Ama kweli chadema wameishiwa. Huyo msigwa hata kuwa mwenyekiti wa mtaa hafai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.