Truth is no longer important...; Watu vain ambao wapo tayari kusema wameshinda 98 percent (pamoja na shida zote zile) ingawa hata wangesema 51 bado wangeshinda, unategemea watakubali kwamba walifanya mauaji ? Au watakuuliza mauaji gani ?
And you think this is just political ?!!!!
Hii ni zaidi ya Siasa na nane aliyepo bali juu; hili ni bomu la watu kuwa mafukara na kuona wazi kabisa kwamba keki ya taifa inaliwa na wachache bila hope yoyote ya kesho yao...
Na kwa taarifa yako hii ni rasharasha mvua yenyewe itakuja hapo Gen...
Haya ya CHADEMA tuwaachie CHADEMA, na hata kabla hatujaongelea hizo 98 percent na Harufu ya Ballot Stuffing; Vipi mwendelezo wa danadana na kutokuwajibika wa wauwaji (Yaani sio Civilians against Civilians bali State against Civilian) - haya yatazungumzwa lini ? Sababu hizi ngonjera ni kutonesha...
Mbinu inategemea wewe binafsi mwingine anaweza akafanya akapata wewe ukafanya kitu kilekile, mbinu zilezile na usipate...
Unless unafanya kile ambacho kila mtu anajua kwamba ukifanya A basi lazima upate B, utakachoambiwa sio guarantee na vile ambavyo kila mtu anajua vitakuwa na ugumu fulani au...
Hio mbona ni wazi kabisa ? Sababu hata bila amani hayo sio maendeleo kwahio hilo sio swali la kujiuliza la kujiuliza ni Nani anafanya Amani isiwepo ?
Sababu naona kama ni mwendo wa kunyosheana vidole tu hata wakosaji nao ni kulaumu wengine...
Nadhani tatizo kuu watu hatujui tatizo' Tumeshaona kwamba Utumishi ni Ulaji na ni Utawala na sio Uwajibikaji; ingekuwa kuna uwazi na watumishi wanafuatiliwa wala watu wangekuwa hawapendi hizi shughuli na tusingekuwa na professionals kibao badala ya kwenda kutumia profession zao wapo bungeni /...
Anayefanya vurugu na uhuni sasa hivi ni nani kama sio walamba asali ambao hawatoi value for money kwa walipa Kodi ?
https://www.jamiiforums.com/threads/swali-kwa-serikali-mwananchi-ni-mwenye-nchi-nguvu-kazi-au-kitega-uchumi-chanzo-cha-mapato.2273345/
Unasubiri UN ndio wakwambie welfare ya sehemu wewe ulipo ? Kweli tuna safari ndefu sana; Kwa tunaoijua Tanzania kilichotokea ni kama Jehanum ila huenda nyie mliozoea Gaza, Bosnia, Somalia au Sudan mnaweza kuona kwa Vyombo vya usalama kufanya target practice kwa raia au ballot stuffing ni Kosher...
Ni mwendo wa Vitisho - Nadhani hawa wadau wa sasa ni subscribers wa Heinrich Himmler.
"The best political weapon is the weapon of terror. Cruelty commands respect. Men may hate us. But, we don't ask for their love; only for their fear."
Mamlaka gani ? Ushaambiwa humu kuna anyonymity kwahio ukishasema wawajibishwe watu huoni kwamba unatoa anonymity ?
Pili kwani mamlaka hazijui kwamba JF ni Content ni user Generated - Akutafutae hawezi kukosa kosa, hata unaweza ukamsalie akasema unamdharau
Mwisho kabisa kwani BAN hazipo au...
Kwamba kila kitu hatuwezi Bandari (the commanding height of the country) mnasema hatuwezi tuwape wengine; Bwawa tumemaliza mnataka kuwaleta ADANi na mnangangania kwamba wachina ndio wanachukua kazi zenu za uchuuzi ? Kwamba hizo ndio mnaweza !!!!
Umeme mnao wa kumwaga ila mnatumia Gesi kutoka...
Wakati kuna watu wamakamatwa na wengine kupotea na Vyombo kukataa kwamba hatujawakamata....
Yet Jeshi bado linakamata watu kama hawa (ambao walikuwa na wadhifa let alone mtu wa kitaa) na kukaa kimya wala bila kuelezea nini ndio nini..., Je wanategemea kinachofanyika kinajenga ?
Kumbuka imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.