ZINGATIA:
1.Katika dini ya kiislamu,Mwenyezi Mungu amekataza Muislamu kuolewa/kuoa mtu tofauti na Uislamu.
2.Pia hairuhusiwi kwa mtu kubadili dini ili aolewe au aoe.Mfano,ikatotea wewe ukabadili dini ukawa Muislamu lengo umuoe huyo dada,basi Mungu amekataza au mwanamke awe muislamu ili aolewe...
Kwa kawaida kila kiumbe Mwenyezi Mungu amekiandikia riziki yake,vile vile neema huwezi kuiona umuhimu wake mpaka itakapo ondoka!,swala la utajir ni mipangilio ya mtu mwenyewe.Mi ninaye Mwl wangu,anafundisha Primary lakin ana nyumba 3 za maana na amepangisha na ana mashamba ya michungwa na gari...
Habar ndugu?,Aah kwanza jua umemkosea Mungu wako halafu kibaya zaidi unajisifia kwny jf,kwa dini yeyote haikubaliki,ushaur wangu kwako OA,katika tatzo kama hlo utapewa mafunzo ya kuishi na mke na hasa katika mapenz au unaweza kusoma vitabu mbalimbal maandalizi yote ya mahaba hata mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.