Recent content by Lizharry

  1. Lizharry

    Je, unatengeza App au website ambayo itahitaji kutuma api sms/ bulk sms / schedule sms/ manage contacts?

    Api ni bure ila utalipia sms tu na ni very cheap, data ambazo unaeza retrieve ni nyingi unaeza pitia documentation hapa Loading...
  2. Lizharry

    Je, unatengeza App au website ambayo itahitaji kutuma api sms/ bulk sms / schedule sms/ manage contacts?

    Okay this is well noted ahsante, nitaadd maelezo zaidi kwenye next thread mkuu ila to get started user anasign up tu kwa kuweka emails, phone no, username ili kupata account then anawekewa 10sms kwenye account. Yes makato yapo utakapoanza kutuma SMS ambapo kila SMS ni Tsh 25Tsh na bei inakua...
  3. Lizharry

    Je, unatengeza App au website ambayo itahitaji kutuma api sms/ bulk sms / schedule sms/ manage contacts?

    No sahivi ni 25Tsh na bei inakua inaendelea kupunguza kulingana na volume.
  4. Lizharry

    Je, unatengeza App au website ambayo itahitaji kutuma api sms/ bulk sms / schedule sms/ manage contacts?

    Nilisoma rules nikaona wanakataza kuweka link that's why sikuweka
  5. Lizharry

    Je, unatengeza App au website ambayo itahitaji kutuma api sms/ bulk sms / schedule sms/ manage contacts?

    Je, unatengeneza APP au website ambayo itahitaji Bulk SMS / API SMS? Kama wewe ni mmoja wa Developers wa Website au App na ungependa kutumia mfumo wa API SMS/ Bulk SMS, bado hujachelewa hata kidogo. Unachotakiwa kufanya ni kufungua akaunti Bongo Live bure na baada ya kufungua utawekewa sms...
  6. Lizharry

    Je, ungependa kuanzisha biashara yako na kujikwamua kiuchumi na reseller program kutoka bongo live?

    Habari!! Je, ungependa kuanzisha biashara yako ya kujikwamua kiuchumi kupitia Bongo Live Reseller Program? Bongo Live ni kampuni inayotoa huduma ya mawasiliano kwa kutumia Bulk SMS yaani meseji za kutuma kwa watu wengi kwa wakati mmoja. Kupitia program hii unaweza ukaanzisha biashara yako ya...
  7. Lizharry

    Ali Kiba na Millard Ayo washuhudia uzinduzi wa Phantom 6

    niliona kwenye page zao bei ya Phantom 6 walisema inaanzia sh 590,000 ila kwa Phantom 6 plus bado hawajataja bei
  8. Lizharry

    Ali Kiba na Millard Ayo washuhudia uzinduzi wa Phantom 6

    kila mtu anauhitaji na simu anayoitaka nahisi ndiyo maana wanajaribu kutoa kila aina ya simu ili kuwaridhisha wateja wao
  9. Lizharry

    Ali Kiba na Millard Ayo washuhudia uzinduzi wa Phantom 6

    N mie nahisi wanafanya hivyo kutokana na uhitaji wa teknolojia kwa wateja wao.
  10. Lizharry

    Shinda simu kali na mpya ya TECNO Camon C9 kwa kufanya hivi tu

    unafanya challenge zote na kila moja unahashtag #SeeLifeInC9 pamoja na kutag page yao.
  11. Lizharry

    Shinda simu kali na mpya ya TECNO Camon C9 kwa kufanya hivi tu

    mimi naamini kila kitu kina bahati unaweza ukajaribu alafu ukajikuta wewe ni mshindi.
  12. Lizharry

    Shinda simu kali na mpya ya TECNO Camon C9 kwa kufanya hivi tu

    nenda kwenye setting alafu bonyenza kwenye about phone kisha itakupeleka kwenye system update,iupdate simu yako.
Back
Top Bottom