Kwenye hii kampuni (hawa wakurugenzi especially Managing Director) ni watu ambao watu wengi waliingia out of trust kwamba huwezi amini kama wanaweza kufanya hivyo. Hata kama mikataba ilikuwepo, trust ndio ilitawala sana. Lakini ndio hivyo kumbe hujui mtu anaweza hata kutumia status yake katika...
Tumejaribu kufanya hivyo Pwani (Mkuranga) wakatuambia tuje Dar manake Kampuni ipo huku na wakurugenzi wanaishi huku. Dar nako wanasema ni kama hawaoni jinai.
Thanks
Asante sana.
Kumkamata mtu pia inahitaji msaada ukiona mpaka tumekuja hapa jamvini mambo yamesuasua mahali fulani ndugu yangu.
Nashukuru kwa ushauri wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.