Mimba ya tatu,ya kwanza nina mtoto ana miaka 6 ya pili ilitoka ikiwa na mwezi 1 mwaka jana november ya tatu ndio hii,ya kwanza nilijifungua on time tarehe ile ile ya makadirio
Hata mimi nimeliona kwa mwanangu alikuwa na miaka 4 ila bado kuongea ilikuwa shida na kucheza alikuwa anacheza sana nje na watoto wenzake but kajua kuongea vizuri alipofika 6
Habari,
Mimi ni mwanamke nina umri wa miaka 28 na ni mjamzito. Tatizo linalonikosesha raha ni kuwa nimepitiliza tarehe yangu ya kujifungua na hata zile wiki mbili za nyongeza zimepita.
Nimeenda hospitali jana kuonana na doctor akasema nisubiri hadi tarehe 9 then kama bado niende wakajue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.