Recent content by Liz Danger

  1. Liz Danger

    JamiiForums Tanzania Kozi gani ni bora zaidi kati ya IT na ICT kwa level ya degree

    Saw mkuu Asante kwa ushauri ,,,but vp mtu wa ICT kuna baadhi ya vitu vya IT hafundishwi au,, maaana sielewi apo
  2. Liz Danger

    JamiiForums Tanzania Kozi gani ni bora zaidi kati ya IT na ICT kwa level ya degree

    mkuu kama una faham chochote labda kuhusu kazi zinazofanywa na mtu wa IT na mtu wa ICT naomba unijuze plz
  3. Liz Danger

    JamiiForums Tanzania Kozi gani ni bora zaidi kati ya IT na ICT kwa level ya degree

    Mimi napendelea kusoma maswala ya Information technology na Networks sasa nashindwa kuelewa nichukue kozi gani maana baadhi ya watu wananambia IT na ICT zote ni sawa tu lakin naona kuna baadhi ya vyuo wanazitenganisha hizi kozi pia nikijalibu kuangalia ada ya kusoma ICT Mfano chuo cha MUST ni...
  4. Liz Danger

    JamiiForums Tanzania Kozi gani ni bora zaidi kati ya IT na ICT kwa level ya degree

    Wakuu pole na majukumu. Mimi nimehitimu kidato cha sita mwaka huu natarajia kujiunga na chuo mwezi wa kumi. Naomba natamani kujua kozi gani ni nzuri na yenye nafasi kubwa ya kujiajiri nikimaliza masomo yangu. Kozi hizo ni kozi ya IT na kozi ya ICT Naomba ushauri wenu wanaJF ASANTE
Back
Top Bottom