Recent content by livise

  1. L

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye Anuani za Makazi umefeli, mbona huwajibiki?

    Matatizo kama haya yanajitokeza au kusababishwa na KUWEPO KWA TAASISI ISIYO IMARA (weak institution) kwasababu tukiwa na Strong institution hatatkipata mawaziri wapigaji kama kina nape au kipara watanyooka tu na kubanwa na misingi ya TAASISI imara mambo ya rushwa na extravance kwa fedha za umma...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bashiru usiturudishe kwenye ‘Tanzania ya giza’

    Tatizo nikwamba mmejaa unafiki bila aibu, malengo yenu nikusifia nakupata teuzi kwaajioi ya matu bo yenu, kipindi cha mwendazake kwann hamkukemea mabaya yake? Unatoaje sifa pasipostahili? Matatizo yanayo ikumba jamii Ni mengi sana MAJI HAKUNA, UMEME WA MGAO unamsifia vip mtu? Tupeni majibu...
Back
Top Bottom