Recent content by Liuti tarq

  1. L

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Waungwana kwasasa hivi dar soko la bidhaa ya Nazi ipoje? Maana Nina Nazi zangu zipo Kilwa kwa yeyote anayejua tuchekiane dm mzigo upo wa kutosha
  2. L

    Nahitaji ushauri wa biashara, nina mtaji wa 1.2(million moja na laki mbili)

    Mkuu Jiulize kwanza hiyo milioni 1.2 uliipataje? Kama uliipata kwa kufanya shughuli furani bas mkuu usiiache hiyo shghur just unachotakiwa kufanya ni kuongeza value katika hiyo shughur iliyokuletea hiyo milioni 1.2, usiingie kweny biashara mpya hiyo pesa bado ni ndogo
  3. L

    Nahitaji ushauri wa biashara, nina mtaji wa 1.2(million moja na laki mbili)

    Ulishawahi fanya hiyo biashara ya kufungua kiduka hapo awali?
  4. L

    Biashara ya nazi

    Biashara ya Nazi. Habari zenu wakuuu Naomba msaad wa maelekezo na ushauri wenu kuhusiana na biashara ya Nazi, Nazi nitakua nazitolea kilwa. 1. Naomba mnijuze kuhusu soko la Nazi jijini Dar es Salaam kwa jumla na rejareja. 2. Pia kama Kuna viwanda vyovyote ambavyo huwa vinahitaji nazi Kama...
Back
Top Bottom