Bikra haitoki siku moja, inachukua hata mwezi kuitoa kabisa cha muhimu kila wakati muwe mnafanya hata kama polepole kichwa tu.. Kila siku kuna kipindi itaingia yote.
Na pia apake mafuta ya mgando kama Vaseline kila akitoka kuoga baada ya kujikausha. Hiyo ngozi Ni kavu Sana ndo maana inachunika. Paka mafuta ya kutosha, vaa chupi za cotton.
Nini kinasababisha kuwashwa mwili baada ya kutoka kuoga? Tatizo limenisumbua miaka 10 sasa.. Nikijisugua ndo nawashwa kabisa, nisipojisugua nawashwa kidogo afadhali lkn mtu huwezi kuoga bila kujisugua.
Najisugulia kitambaa laini kabisa, nikitoka kuoga nachanganyikiwa kwa kuwashwa mno na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.