Recent content by Lipuka

  1. L

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    Wewe unataka ushahidi wa nini kutoka kwa Lema?,Zitto aendelee kukana ndo utakua ushahidi wako tosha hata alipoenda kutibiwa INDIA akane pia kwamba hakwenda kutibiwa uko
  2. L

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    Safi sana Kamanda,hana uzalendo wowote huyo ila uzalendo wake niwa Ki magamba vinginevyo ukiona Mpinzani anasifiwa na Mtawala ujue kuna walakini
  3. L

    Nyota ya Mwigulu Yazidi Kung'ara!

    Inawezekana sio yeye hata bunge kuwa chini ya spika Njiwa mwenye Makinda na Ndugu Gay linaelekea kuwa impotency
  4. L

    Katibu wa CCM tawi la Johannesburg Afrika Kusini, asakwa kwa utapeli (dhuluma)

    Katibu wa chama cha mapinduzi (ccm) tawi la Afrika Kusini , Ndg, Paul Pius Albino Mkoba (pichani)anatafutwa na baadhi ya watanzania waishio nchini humo, kwa kuwatapeli fedha, zenye thamani zaidi ya shilingi milion 37 za kitanzania, amabazo ni sawa na Randi 200,000 za nchini humo. Ndugu...
  5. L

    Mnyika atangaza maandamano tarehe 16 Machi

    Mama,unachoongea ni kweli kwa akina Mama wenye mtazamo kama wako
  6. L

    Piga kura: Nani mwanasiasa bora kati ya ZITTO KABWE na MWIGULU NCHEMBA 2012!

    Afadhali yako wa kuchagua jiwe,maana wote ni kama wanatoka chama kimoja
Back
Top Bottom