Recent content by Lional

  1. L

    Msaada kuhusu namna ya kuhama chuo

    Utaratibu ni upi wa kuhama,chuon sijafika kufanya registration. Nianzie WAP?
  2. L

    Msaada kuhusu namna ya kuhama chuo

    Nimechaguliwa chuo cha kairuki kozi ya MD, mkopo nimepewa wa meal and allowance bas, nimekwama ada maana ni million 7. Je naweza kwenda nikalipa kidogo then nifanye transfer ya chuo kingine, je huwa inawezekana kuhama.
  3. L

    Msaada wa chuo

    Da kwa hiyo mwaka huu umenipita
  4. L

    Msaada wa chuo

    Muhimbili ni sehemu ipi ya kuombea mbona sipaoni third round
  5. L

    Msaada wa chuo

    Mfano muhimbili wamesema application closed na udsm,
  6. L

    Msaada wa chuo

    Mbaka sasa sijapata chuo,third round mbona sipaoni
  7. L

    Msaada wa kozi gani ya kuomba

    Hakipo kwenye orodha
  8. L

    Msaada wa kozi gani ya kuomba

    Bado TCU wameongeza muda
  9. L

    Msaada wa kozi gani ya kuomba

    Mimi nimemaliza PCB,Nina div 1.8 nimeomba MD nimekosa,ni kozi nyingine nzuri naweza kuomba kwa point niliyonayo?
Back
Top Bottom