Recent content by lingamba lidodi

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kauli tata Mei Mosi 2019

    Unamaanisha watanzania wote ni wakimbizi,Rais tu ndiye mtanzania? Looooo!!!! Jamaa nchi INA vichaa wasioweza kupona
  2. L

    JamiiForums Tanzania Barua kwa Mfanyakazi wa Tanzania, Mei Mosi 2019

    Wamewekwa kwa nguvu ya serikali,na wanalipwa ziada toka huko
  3. L

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais Magufuli Mei mosi hatutaki kusikia haya...

    Upumbavu nao ni sifa
  4. L

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais Magufuli Mei mosi hatutaki kusikia haya...

    Vyama vya wafanyakazi wa nchi hii ni tatizo hasa viongozi,viongozi wa ivi vyama wana maisha mazuri kuliko wana chama wao kuwa wako kwenye payroll kila mwezi. Ungekuwa Kenya Leo mabango yangesomeka tofauti,lakini Tz wakitishwa kuwa nitatengua viono,wanafyata mikia
  5. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Bwana mdogo hebu jitie akili kidogo. Siongelei kulima kwa wingi, Bali kilimo cha chakula cha kulisha mwaka mzima,pia siongelei MAHINDI tu Kijana. Mimea ya chakula ni pamoja na uwele,mtama Mpunga na jamii ya mikunde. Magugu wanalima Mpunga,mwaka wakikosa kwa sababu ya ukame utasema hawatakuwa na...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Wewe ndiye kichaa wa kwanza nchi hii. Dodoma nimeishi,MAHINDI yalimwa nami nilisha Lima maeneo ya mmoja na songambe, mpwpw pia inatoa mahindi bahati na singida ni maeneo ninayoyafahamu vizuri. Unaongea ukiwa una kula kwa baba na mama yako
  7. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Mvua zinanyesha wakati MAHINDI yameshakauka pumbavu zako. Nenda kaseme maneno hayo babati manyara dodoma kiteto kama wasipokugawana viungo vya mwili wako!!
  8. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Porojo unaleta wewe kula kulala,umesoma vizuri bandiko langu?
  9. L

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa Rais Magufuli kurudia mchakato wa katiba uliokwamishwa makusudi na CCM

    Saalam jf! Mods uacheni Uzi wangu tena msiunganishe na mwingine wowote please. WE DARE TO TALK OPENLY. Toka mwanzo wa kuingia madarakani Rais magufuli amekuwa akitamka Mara nyingi kuwa, 1. Mtetezi wa wanyonge na mlinzi wa raslimali za watanzania. 2 Tanzania ni tajiri,anataka iwe donor...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Wataalam wa kukadiria, hebu fanyeni makadirio ya gharama za msafara wote pamoja na hela zinazomwagwa kama mtama mbele ya njiwa,maana naona kama siyo serikali yote IPO huko basi NUSU yake.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Mkuu kwakuwa nimegusa ugawaji hela kwenye msafara wa mwenyekiti wako,ukajisahaulisha kwa muda kuwa kuna maeneo mengi ya nchi yamekosa mvua na kuna hatari kubwa ya njaa.!! Mche Mungu ili uone,kuuseme na kuuishi ukweli,ondokana na ushetani,upovu na uziwi unaosababishwa na siasa maslahi. Dodoma...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Kama hujui kuwa nchi imekubwa na ukame mikoa mingi basi wewe siyo mtanzania. Utakuwa muangola au mmalawi
  13. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Amejiandaa la baa la njaa linakokuja mbele,au serikali haina shamba au jiko!? Mnagawa hela kwenye nsafara wakati maeneo mengi yamekosa mvua mimea ya chakula imeungua na jua. Je mmejiandaa kuwahami watakaoathirika na njaa?
  14. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta neema wilayani Kyela Msikiti wachangiwa mamilioni ya ujenzi, CCM yatoa sh 1 milioni Chadema hawana mchango

    Unataka aruhusu nani? Mnasema tamko la Rais ni sheria,tamko liko juu ya katiba? ACHENI WOGA KAFANYENI SIASA
Back
Top Bottom