lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Saalam jf!
Mods uacheni Uzi wangu tena msiunganishe na mwingine wowote please. WE DARE TO TALK OPENLY.
Toka mwanzo wa kuingia madarakani Rais magufuli amekuwa akitamka Mara nyingi kuwa,
1. Mtetezi wa wanyonge na mlinzi wa raslimali za watanzania.
2 Tanzania ni tajiri,anataka iwe donor country,amedhihirisha hilo kwa Malawi.
3, Anainyoosha nchi kwa kupambana na mafisadi,amedhihirisha hilo kwa kuunda mahakama ya mafisadi.
Japokuwa tunawaona mafisadi wawili tu wamo korokoroni( Rugemali na Habinga Singh wengine kawaacha wanapeta mitaani na bungeni)
Mpaka sasa tunaweza sema ameshazunguka nchi nzima na kuuona utajiri wa nchi yetu.
Utajiri huo umekuwepo mpaka anauona ni kutokana na busara na hekima za mwl jk Nyerere.
Viwanda anavyofufua ni Umoja wa watanzania wa wakati ule,wakiongozwa JKN.
Waliomtangulia magufuli wamezifanya raslimali za nchi hii zisombwe na mataifa mengine kama haina wenyewe,na hakuna cha kuwafanya,(kuwawajibisha)
Rais amekuwa akilalamikia waliotangulia kuwa wamegawa utajiri wa nchi yetu huku akiwa hana meno ya kuwang'ata.
Kama anavyoamini kuwa anaijenga nchi upya,imempasa kurudi kwenye rasimu ya warioba ili kupata katiba mpya itakayomuwajibisha yeyote atakayeingia madarakani baada yake pindi atajapofanya madudu kwa kutapanya raslimali zetu kama waliotangulia.
Akifanya ivo,nitaamini Mungu alimuandaa kwaajili ya nchi hii.
Aachane na siasa za sisim kiutendaji,sisim wanasema lakini hawatendi.
Sisim ni sawa na Nguruwe, wanazaa watoto,njaa ikumbana anageuka anawala kushibisha tumbo lake
KUENDELEA KUJAZA MAJI KWENYE PIPA WAKATI CHINI LIMETOBOKA ASITAZAMIE KUKUTA MAJI BAADA YAKE
Mods uacheni Uzi wangu tena msiunganishe na mwingine wowote please. WE DARE TO TALK OPENLY.
Toka mwanzo wa kuingia madarakani Rais magufuli amekuwa akitamka Mara nyingi kuwa,
1. Mtetezi wa wanyonge na mlinzi wa raslimali za watanzania.
2 Tanzania ni tajiri,anataka iwe donor country,amedhihirisha hilo kwa Malawi.
3, Anainyoosha nchi kwa kupambana na mafisadi,amedhihirisha hilo kwa kuunda mahakama ya mafisadi.
Japokuwa tunawaona mafisadi wawili tu wamo korokoroni( Rugemali na Habinga Singh wengine kawaacha wanapeta mitaani na bungeni)
Mpaka sasa tunaweza sema ameshazunguka nchi nzima na kuuona utajiri wa nchi yetu.
Utajiri huo umekuwepo mpaka anauona ni kutokana na busara na hekima za mwl jk Nyerere.
Viwanda anavyofufua ni Umoja wa watanzania wa wakati ule,wakiongozwa JKN.
Waliomtangulia magufuli wamezifanya raslimali za nchi hii zisombwe na mataifa mengine kama haina wenyewe,na hakuna cha kuwafanya,(kuwawajibisha)
Rais amekuwa akilalamikia waliotangulia kuwa wamegawa utajiri wa nchi yetu huku akiwa hana meno ya kuwang'ata.
Kama anavyoamini kuwa anaijenga nchi upya,imempasa kurudi kwenye rasimu ya warioba ili kupata katiba mpya itakayomuwajibisha yeyote atakayeingia madarakani baada yake pindi atajapofanya madudu kwa kutapanya raslimali zetu kama waliotangulia.
Akifanya ivo,nitaamini Mungu alimuandaa kwaajili ya nchi hii.
Aachane na siasa za sisim kiutendaji,sisim wanasema lakini hawatendi.
Sisim ni sawa na Nguruwe, wanazaa watoto,njaa ikumbana anageuka anawala kushibisha tumbo lake
KUENDELEA KUJAZA MAJI KWENYE PIPA WAKATI CHINI LIMETOBOKA ASITAZAMIE KUKUTA MAJI BAADA YAKE