kamanda hassan ameanza kwa kutangaza nia ya kugombea udiwan katatya kati kama atapewa ridhaa na chadema ungana nasi moja kwa moja.
Mch msigwa ndan ya nyumba
Updates.......
Naibu meya wa jiji ndio anahutubia..mh lema ndo ameingia nw
Updates...kamanda mushi anasema '' kama kuna aliekuja...
BRN iwe chachu ya mabadiliko ss ikumbuke hawa wazima moto wa msitu kwanza na sio wale wanaokaa Sinza, Mbezi na kwingine hawa ndio walinzi wa hii rasilimali.
Hivi unadhani mwanakijiji anayekaa Kilosa, Mufindi, ibwanz, na vijiji jiran watanufaika na nini toka uhuru wanazalisha nguzo za mbao...
Tatzo lipo wizaran kwake kuna watu wamenyimwa ulaji kuhusu vibali ss wanajaribu kutengeneza mazingira yatakayo wanufaisha wao na siwana mufindi..
Kwa hali ilivyo ss msitu utakuwa hatarin sana kutoweka kwa kufanyiwa hujuma wasipo angalia maslai ya wanamufindi na watanzania kwa ujumla..mpaka ss...
Kinachotakiwa wana mufindi tuwe na msimamo yan msitu babu zetu watoe ardhi wapande miti tuzime moto ss halafu waje wahindi wao wa dsm kuja kununua kwa mnada halafu waanze kutu dalalia vibali....haaya mambo wanafufindi tunahitaji mshikamano mpaka kieleweke
Hii wizara ina urasimu sana walisema watatoa vibali kwa mnada hivi kweli mwananchi wa kule mufindi ambaye amechukua mkopo mucoba tena wa mwaka mmoja uliokuwa na riba kubwa unamwambia akashindane kwenye mnada na matajiri wa dar kweli hii ni haki wakat hawa ndio wakwanza ikitokea msitu unaungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.