Hayawi hayawi sasa yamekua hatimaye wizara ya afya wamebandika majina ya waliochaguliwa katika makao makuu ya wizara hiyo yaliyopo AKIBA kwa wale wa DSM
NB:Kwenye mtandao bado hawaja upload
Maka sasa wengi walioomba nafasi za kusoma katika vyuo vya AFYA bado wapo kwenye wakati mgumu
hasa pale wanaposikia kuwa kuna ushindani balaa.
je,ni lini Wizara ya AFYA itaziwasilisha post hizo ili kila mtu ashike ustaarabu wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.