Habari kwa mtumishi mwakasege kama ni kweli watakuomba ugombee ubunge usije ukathubutu hata kuongelea sisi tunataka chadema hatutaki CCM,mtumishi wa mungu usije hata ukatudanganya kwa mungu amekuambia ugombee utashindwa.sisi ni people power sisi si ccm hatuhutaji hicho chama hata kwa dawa CCM ni...
Tunakushukuru Luteni kwa barua yako unajua kwamba arusha ndio dunia na unajua kwamba arusha kila kitu wakubwa wote dunia ikitaka kushuka inashukia AICC sasa unafikiria nini kama sio ulafi wa CCM kwa kweli tunawaambia kwamba hawataipata arusha hata kwa dawa.Wanazidi kujikanyaga arusha sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.