Recent content by Lilian85

  1. L

    Natafuta mume

    Nimeshajibu wengi
  2. L

    Natafuta mume

    Sasa ubaya unakuhusuje mtanzania wewe?fungua uzi wako wa kuwananga wabaya.bila shaka huo uzuri wako unaousifia utakuwa 'ladies and gentlemen'
  3. L

    Natafuta mume

    Hivi kwa nini usianzishe uzi wako maalum na si kuniletea uzibe hapa?daah mwanaume umekuwa na mashairi kama mtunzi wa taarab!
  4. L

    Natafuta mume

    No big no
  5. L

    Natafuta mume

    Uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu kwako mbaya kwa wenzako mzuri,in short usichokitaka wengine wanakithamini.How will you feel mtoto wako wa kike akiwa disvalued kama hivyo.Malipo hapa hapa duniani mkuu
  6. L

    Natafuta mume

    Umegeuka kungwi mkuu?
  7. L

    Natafuta mume

    Im not here to test anyone.No one directed me to come with this thread.
  8. L

    Natafuta mume

    Ni interest tu
  9. L

    Natafuta mume

    Si ajira,wala si achievement mmetuonea kama hamuhitaji si msioe tu.
  10. L

    Natafuta mume

    Kwa kweli kila mmoja apambane kivyake.
  11. L

    Natafuta mume

    I love my motherland
  12. L

    Natafuta mume

    Hata wewe kumkadiria mtu tabia kama vile wamfahamu sana nayo Mungu hapendezwi.inaonesha tu si msafi wa moyo
  13. L

    Natafuta mume

    Hutakiwi kuhoji sana wewe si muhusika
  14. L

    Natafuta mume

    Kwa ajili ya faida ya nani mkuu?aliye na uhitaji atakuja pm
  15. L

    Natafuta mume

    Wengi tu
Back
Top Bottom