Recent content by Lilian Peter

  1. L

    Lowassa si muadilifu, ni wa kuogopwa kama ukoma

    Kwa wasiomjua Lowassa watasema mengi sana. Lakini yeye mwenyewe anajua nini anafanya kwa nchi yake. Poleni mnaokwazika kwa harakati zozote za E.L ila kama amepangiwa kuwa rais atakuwa tu, upende usipende na hayo maelezo yako marefu.
  2. L

    Tanzia: Balozi Isaac Abraham Sepetu (baba yake Wema Sepetu) afariki dunia

    Jamani mbona watu mna maneno makali sana? kuna ubaya gani kusema msiba ni mkubwa? Aliyekufa ni kiongozi katika family yake hivyo family imepata pengo kubwa sana na aliyekufa atabaki kuwa mkubwa tu! Tuheshimu misiba na kuwafariji wafiwa, omba Mungu msiba usikufike ukikufika utajua ni kwanini...
  3. L

    TB JOSHUA: Kuna Rais East Africa atatekwa na Club kulipuliwa

    Ni vema tukaheshimu maneno ya watumishi wa Mungu kuliko kubeza, tuwe tayari wakati wowote, unaofaa na usiofaa maana hatujui siku atakayokuja mwana wa Adam. Pia tuheshimu Mamlaka zinatoka kwa Mungu.
  4. L

    Katiba kicheko vyama vyote

    Siasa sio ugomvi jamani ni maelewano na kusikilizana tu mambo yanaenda.
Back
Top Bottom