Mimi nyumbani kwangu kuanzia watoto mpaka mke wangu ni vichekesho jamani kama mwanangu wa kiuume utamskia baba lowasa safi anaonesha dole gumba, magufuli anakwambia kimeo cjui usemi ule anautoaga wapi cjui wandugu
Unajua waswahili wanasema hii mchawi mpe mwanao, nina maanisha kama lowasa wanasema mwizi sisi tunamtaka huyohuyo mwizi ambaye kashaimba katosheka atutaki ccm wakiingia madalakani wanajinufaisha wenyewe na kujisahau kwamba wao tuliwapa kula cc wananchi, so tumewachoka watuachie lowasa wetu
Uwongo wa ccm ndiyo mambo yao tumechoka na ccm. Unaushahidi kama lowasa anatoa rushwa mbona tunapata taarifa ya habari ccm ndiyo wanashikana kwenye rushwa kwa takukuru walimkamata nape, muuigulu nchemba,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.