Huku sio kwako jaribu kuwa unasoma kwa kuelewa na sio kujibu .. unajizid kujipoteza mwenyewe .. maana ukiona tu mtu anajibu namna hii hii ni ishara ya kwanza kabisa kuwa Hajui anataka kufa anafanya Nini . . . Na unakuta pia upo kwa baba yako ambae analipwa elfu 10 Ili alishe wanae 6 kwa siku ...
Hey Mr. New city this si not your city .. tunakusubiri nafasi yako ipo huku pia Kama utatoka hio nchi .. inabid ujue unaongea na life mission statement .. unakarbishwa WELCOME ...
Na ukiona mtu wa namna hii ujue hii sio sehemu yake maana ana focus na vitu ambavyo sio level yake anavamia Kila kitu ... Uki FOCUS kwenye kitu kimoja hata upumbavu unapungua kwa Kasi sana.
Hii sio sehem yako kabisa maana akuna alie wahi ku invest Bila kataratasi ambayo maandishi yake anayaelewa kiundani.. Anza ulipo ukifika hii level utarud baada ya mda flaan wa kuchoka ""Investment za kwenye karatasi"" tutakukarbisha maana ata sisi tushawai kuwa kama wewe na kutoka io hatua...
SWALI LA KWANZA
UNAPENDA AU UMEWEKEZA TU.??
Leo nataka nitoe mfano mmoja kwa kutumia GENGE LA CHIPS tu. Hapa naongea na watu wanaopenda sio wanaowekeza ,ndio unawekeza je unapenda ???? kwanza unapenda ???
Usilaumu Usimamizi wakati hufurahii kukaa kwenye Banda la chips mda mwingi
Kuna watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.