Salaam wapendwa humu ndani.
Mtoto wa miaka miwili anapata kikohozi kikavu kwa takriban mwaka sasa. Tiba nyingi ametumia lakini kila baada ya miezi mitatu kikohozi kinarudi.
Naomba ushauri wenu;
*Nini tatizo hapo?
*Ametumia tiba za hospitali sana,nini tiba ya kufaa zaidi?
*Si muda mrefu amemaliza...
Wana JF Doctor habari zenu wote.
Mwanangu amemeza gololi tangu jana majira ya saa 3 asubuhi Ni hizi gololi wanazonunua madukani na kuchezea(sijui vizuri materials zake,lakini sio zile za chuma zitumikazo kwenye baiskeli nk). Hadi sasa yupo kawaida tu, halalamiki maumivu yoyote wala hakohoi...
Ahsante Gobe kwa couselling maridhawa. Lakini anakunywa maji vizuri sana huyu dogo,kwa matunda anapenda ndizi mbivu,chungwa na tikitimaji.
Nitaongeza juhudi katika kufuata ushauri wako na wa wengine nitakapoupata.
Sina shaka hamjambo members.
Nisaidieni chanzo cha tatizo hili na utatuzi wake: Binti yangu mwenye umri wa miaka miwili anapata choo kikubwa kigumu mara zote. Kuna dawa nimewahi kumpa kwa ushauri wa pharmacist fulani,ni vidonge ambapo anameza kimoja na kupata choo laini,lakini baada ya siku...
Amani kwenu wanajukwaa. Naomba kujua kitaalam iwapo kuna madhara ya kula tango na asali au limao kwa wakati mmoja, maana kuna rumours kwamba mchanganyiko wa asali ama na limao au na tango hufanya sumu hatari ikiwa utatumika kwa kula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.