watu wenye hela hawaongei na picha we piga simu upewe details za eneo ukaangalie wizarani arafu uje nikupe na document zangu ndipo biashara ifanyike nyinyi mnaosema utapeli allah awasamehe sana faari naswira usizungumzie nafsi ya mtu
Shamba la heka 100 linauzwa lipo Kibaha:
1. Lipo umbali wa km5.4 kutoka morogoro road
2. Lipo barabarani
3. Limepimwa na lipo kwenye ramani ya mipango miji
4. Huduma za kijamii zipo
kwa mawasiliano zaid +255674213079
Uendeshaji wa hovyo kabisa kuanzia viongozi mpaka wafanyakazi wa chini kwa sababu sio kama hamuoni au kusikia kero za abiria wenu vituoni.
Bado mna wa zamani sana kupangisha watu foleni hivyo mradi mkubwa hivyo mnakosaje hata IT au Technician ambaye atakuwa mbunifu wa kubuni vitu katika mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.