Recent content by Liberal1453

  1. L

    Waganga wa mapenzi wana msaada wao kwenye mapenzi jamani

    Habari zenu wakuu, Poleni na Majukumu ya kutafuta Mkate wa kila siku. Haya maisha yana mambo mengi sana na watu tuko wengi sana yapata Bilioni 7 duniani nlivyotazama mara ya mwisho, Maisha yanahusisha Familia, Pesa na Mapenzi. Leo nimekuja kwa jambo moja kuu, nalo ni la Mapenzi na Lengo ni...
  2. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    Ndio Mkuu hili ni la kuzingatia
  3. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji110]
  4. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    [emoji23][emoji23][emoji23] huko 5 star gharama zikoje mkuu...?
  5. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    Nashukuru kwa fikra zako zenye msaada mkuu[emoji120]
  6. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    ni ya kati tuuu isizidi 100K
  7. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    Mhhh mkuu hapa parefu sitaweza afford, lakini nashukuru siku nikizipata nitakumbuka hili[emoji120]
  8. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    Nashukuru Mkuu[emoji120]
  9. L

    Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

    Habari za wakati huu wajuvi wa mambo, ndugu yenu nimekuja hapa kuomba Msaada wenu. Ninaishi Dar es salaam, Niko na Mpenzi wangu ambae tuko mwanzoni kabisa mwa mahusiano, Si mtu wa uchumi wa chini na si wa juu sana naweza sema ni mtu wa Uchumi wa kati Juu (mazingira aliyokulia)... Nimekuwa...
Back
Top Bottom