Wanajamii wenzangu Amani iwe nanyi! Kuhusu suala la TP mazembe mie naona ni mbinu chafu tu za waarabu! Wameona hawawezi kuwafunga uwanjani wakatafuta ushindi wa mezani! Rais wa CAf Ana kashfa ya kupokea rushwa je kwa hili atashindwaje kupokea! Ndugu zangu Simba nawatakieni kila la heri muwafunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.