Recent content by letsshine

  1. L

    Milion 40 nifanye biashara gani Dar es salaam

    Asante sana mkuu ni kudra tu za mwenyezi Mungu
  2. L

    Milion 40 nifanye biashara gani Dar es salaam

    Sio mwaka tu hilo dili nilipata ndani ya mwezi mmoja mkuu, Mwenyezi Mungu akikuandikia muda hauna maana
  3. L

    Milion 40 nifanye biashara gani Dar es salaam

    Habari wanajamvi, Mimi ni mtoto wa kimaskini niliekulia kwenye umaskini, mwaka 2023 mwezi wa kwanza nilibahatika kufika Dar es salaam kwa mara ya kwanza mimi professional yangu ni SOFTWARE engineer natengeneza app za simu na website basi mwaka jana mwanzoni nilipata bahati ya kuja kumtembelea...
Back
Top Bottom