Recent content by lesleswng

  1. L

    Wale mnaosikia juujuu tu kwamba mauaji ya maelfu Watanganyika wakati wa uchaguzi ni kisasa, kujeni niwa-brief kidogo

    Aloooooh sema kila mtu atalia na kusaga meno na hakuna sauti zitadikika tena, watu wa Jihad ni noma wazee wa visasi hili ni picha la kutisha,
  2. L

    Kwanini wanawake wakizeeka ndo wanakuja jukwaa hili kutafuta wenza?

    Si uwaache watafute ndoa ww inakuuma nini mwanaume mzima
  3. L

    NAHITAJI MCHUMBA

    Hakunabwaowaji mtandaoni utaishia kuliwa na ujute
  4. L

    Kuna mtu amewahi kupata mwenza kupitia hili jukwaa?

    Wengi wameliwa tu na kusepa
  5. L

    Dawa ya vidonda vya tumbo

    Hali zetu unazijua kubadili mfumo wa maisha kwa asilimia 100 ni uongo
  6. L

    Dawa ya vidonda vya tumbo

    Sawa ngoja mm nitumie nione hali itaendaje
  7. L

    Dawa ya vidonda vya tumbo

    Kwakweli ngoja tuone
  8. L

    Dawa ya vidonda vya tumbo

    Jana nilifika pale hospital ya muhimbili kitengo cha tiba asili nikanunua hiyo dawa ya vidonda vya tumbo, kwa maelezo ya Dr natakiwa kunywa chupa 15 mpaka 20 , nilinunua chupa 5 za kuanzia Kwahiyo ndugu zangu kwa wale mnaohangaika na gas, vidonda vya tumbo mnaweza kufika pale muhimbili na...
  9. L

    Tumbo linawaka moto kama kuna maji ya kuunguza yanamwagwa tumbo

    Sure hata mimi nimehisi hivyo sasa nikipimo gani naweza pima
  10. L

    Resistant H.pylori

    Tumbo linaumaje maan mm muhanga
Back
Top Bottom