Huzifukii tanki unajenga kama septic tank ila inakuwa imara zaidi unasiliba chini na kuweka tiles na kama una uwezo hata kwenye kuta unaweka tiles, na juu unaweka zege imara gari ikipaki pale halibomoki. Unaweka kifuniko kama cha septic tank, you're done. Tanki la chini laweza kuwa kubwa sana...
Hapo atakosa maji pamoja na kuwa maji yanatoka kwani pressure ya maji huwa ndogo. Gharama ya kujenga underground tank sio kubwa. Wewe unafikiri atatumia kiasi gani kujenga hilo tower?
Probability ya pump kuzingua ni negligible. Nina pump zaidi ya miaka 15 sijabadili. Halafu unaweka tanki dogo kama lita 500 kwenye dari na lina overflow pipe ambayo inatoka nje. Kama hutaki kuweka kwenye dari, jengea nje. Hitilafu ya umeme sio issue sana kwani una backup ya lita 500. Hizo tank...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.