Unajua jamiiforum sio instagram kwamba kila mtu anatumia naamini wanaojielewa tu ndio watumiaji sasa wajibu wko kuelewa nachohitaji na kutoa wazo, ushauri Kama haina unasoma na kuskip tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahusiano na masomo vitu viwili tofauti na mie si mwanafunzi labda mwenzangu yuko advance mie niko uraiani natimiza Majukum mengine sas kwa style hii Nahsi jini mkata kamba anayemelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa hapna unapo kuwa na mpenzi kuna nyakati unatakiwa muwe pamoja walau mara moja moja kwa week mtembee na muyaongelee mahusiano yenu sasa Miaka mitano tupo tu yeye busy err day na duka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nae sasa Miaka mitano tangu anaanza form one ila mahusiano yetu yamekuwa ya simu tu hatujawahi kukaa kitako tuyajadili mahusiano yetu na malengo yetu ni jirani yangu kila siku na muona pia najua hapa kitaa hasaliti labda shuleni kwao attention na mie ni simu anapiga sana tu ila hatuna...
Guys, naomba tuambizane movies kali kali za Bollywood na hoodwood unazozipenda sana weekend hii tuenjoy pamoja. Wale walevi wa movies.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipatie full set ya Dstv kwa 79000/= pamoja na ufundi bure na package ya kifurushi kuwatch miezi miwili (2) free Pm me nikuletee mpaka nyumbani kwako bureeee kwa Dar
#DstvPopote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa walioshuhudia leo utolewaji wa tuzo za #SinemaZetuInternationalFilmFestive2019 lazima wengi wao wameguwaa na kustaajabu namna ambavyo mambo yamekuwa na mshanga mkubwa yaani uliye mzania na kumtegemea imekuwa sivyo ndivyo kwa vipengele vyote na hii ni maana kubwa sana kwa upcoming filmmaker...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.