mkuu embu nisaidie na mimi kimawazo,mimi majina yangu ya vyeti vya taalumu ni “hance prosper paul” cheti cha nida ni “hance prosper massawe” ila majina yote hayo yapo kwenye cheti cha kuzaliwa ni kwamba nida walitumia jina la ukoo badala ya jina la babu,je kunachangamoto yotote itayonikumba hasa...
Hii Ramani ya vyumba vitatu vyote self, choo cha kushea na mahitaji yote , Ramani ina Ukubwa Wa mita 9/kwa mita 12
Kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649
Ramani ya ghorofa moja
chini kuna;
"Sebule
" Dining&jiko&Stoo
"Vyumba viwili vya kawaida
" choo cha kushea
Juu kuna;
"master bedroom(hii ya baba na mama😃😃) ikiwa na balcony kupunga upepo
Kupata Ramani yake na nyinginezo nitext whatsap 0627571649
Ramani ya Vyumba Vinne chumba kimoja masta pia ina wic(walk in closet)...
Ukubwa Wa Ramani mita 12/kwa mita 15
kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649
Hii ni Ramani ya vyumba viwili kimoja masta na mahitaji yote muhimu. ukubwa wa Ramani mita 10.6/kwa mita 10.3
#Mahitaji
Tofali za msingi=598{kozi nne}
Tofali za boma=1514
bati pisi 56{futi kumi}
#Kwa wakazi wa Arusha/kilimanjaro mnapata hardcopy za Ramani
kwa mawasiliano zaidi nione whatsap...
mafundi nao utaomba wakusaidie kukujengea chief?..tunasaidiana kwa kupeana bei nafuu, there is no something for nothing, yaani ujipinde mgongo utafute estimation for nothing really?hicho kidogo ndo kinatupa nguvu na moyo wa kufanya zaidi chief..
Ni kwel chief ila kwenye mafanikio kuna mambo mengi, Je mimi nina kosa gani kuandaa ramani ya chumba kimoja..ni kweli kuwa kila mtu ana uwezo wa mabangalow? kama ni ivo kwanini hii Ramani nimefanikiwa kuiuza kwa baadhi ya watu?tukiacha vichwa vitu vifikirie freely na bila kuwa wabinafsi , utajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.