Recent content by Leloo June

  1. Leloo June

    Hivi ni kweli mtu anaweza kuendesha maisha yake kwa kutegemea betting tu?

    Uongo, nimebetia yanga na simba mechi nyingi tu msimu huu na odds azikuwa ndogo hivi usemavyo UONGO.
  2. Leloo June

    THINK

    Jichanganye
  3. Leloo June

    Hizi hapa biashara 15 zinazo tajirisha vijana nchini kwa sasa

    11. Delivery services naomba izungumzie kidogo zaidi
  4. Leloo June

    Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Ahsante sana ka kaka kwa huu ushauri safi, yupo jamaa anafanya ivyo na maisha yake yapo safi sana.
  5. Leloo June

    Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Betting nishabet sana akuna mafanikio huko awezi nidamganya mtu chochote kuhusu betting
  6. Leloo June

    Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Habari za jioni, Wakuu nimekuja kwenu kuomba ushauri wa ideas. Kwa mtaji wa milioni 3 naweza fanya biashara gani hapa Dar nikipata walau faida ya laki 3 kwa mwezi?
  7. Leloo June

    Tabia nisizozipenda kwa mabinti wa kaskazini (hasa wachaga) wakiolewa

    FACTOS! Me ni mchaga nimeoa mchaga napigia mstari kusema uliyoyaandika yana ukweli 95%
  8. Leloo June

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Show only winning tickets
Back
Top Bottom