Recent content by Leloo June

  1. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli mtu anaweza kuendesha maisha yake kwa kutegemea betting tu?

    Uongo, nimebetia yanga na simba mechi nyingi tu msimu huu na odds azikuwa ndogo hivi usemavyo UONGO.
  2. Leloo June

    JamiiForums Tanzania THINK

    Jichanganye
  3. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Hizi hapa biashara 15 zinazo tajirisha vijana nchini kwa sasa

    11. Delivery services naomba izungumzie kidogo zaidi
  4. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kimafanikio kwa wafanyabiashara wadogo; Maarifa niliyoyapata kutoka China

    Me na 12m nipe mchongo nakupa 1m
  5. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Ahsante sana ka kaka kwa huu ushauri safi, yupo jamaa anafanya ivyo na maisha yake yapo safi sana.
  6. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Betting nishabet sana akuna mafanikio huko awezi nidamganya mtu chochote kuhusu betting
  7. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Forex hapana
  8. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Ahsante kwa ushauri
  9. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Nifanye Biashara gani kwa mtaji wa milioni 3

    Habari za jioni, Wakuu nimekuja kwenu kuomba ushauri wa ideas. Kwa mtaji wa milioni 3 naweza fanya biashara gani hapa Dar nikipata walau faida ya laki 3 kwa mwezi?
  10. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acheni utapeli.
  11. Leloo June

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia nisizozipenda kwa mabinti wa kaskazini (hasa wachaga) wakiolewa

    FACTOS! Me ni mchaga nimeoa mchaga napigia mstari kusema uliyoyaandika yana ukweli 95%
  12. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Show only winning tickets
  13. Leloo June

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Aliweka hiyo hapo
Back
Top Bottom