Recent content by Lekachonka

  1. Lekachonka

    Climate Change threats millions in Tanzania

    The article is somehow good but it lacks a lot of scientific evidence Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Lekachonka

    Kigwangalla: Kuzamisha mitumbwi si kuruhusu kuua. Ni kutuma salamu kuwa Tanzania inapaswa kuheshimiwa

    Nakuunga kwa 100% Waziri wetu katika hilo. Ubaya hulipwa kwa ubaya. Ili kuwe na mazungumzo ama mkae meza moja kwa mazungumzo, ni sharti pande zote ziwe zimeonja maumivu. Lkn mkiwa mnaonewa alafu kazi yenu kulalamika,msitarajie kutatua kitu hapo. Maana upande mmoja utawaona dhaifu tu. Lkn mkianza...
  3. Lekachonka

    Kama ikitokea CHADEMA kikafutwa,uwakilishi wa Wabunge na Madiwani sheria inasemaje?

    Ndugu waungwana, napenda kujulishwa kutoka kwenu wajuzi wa sheria. Hili jambo limekaaje? Kama ikiwa ndivyo chama chenye wawakilishi kikafutwa,hao wawakilishi wataendelea kuwawakilisha Wananchi ama uwakilishi wao utakoma punde chama kinapofutwa? Maana kwa Katiba yetu ilivyo,kiongozi ataingia...
  4. Lekachonka

    Huku akiendelea kuchunguzwa na Idara ya Uhamiaji, Askofu Niwemugizi amekipandisha Kigango cha Chato kuwa Parokia

    "Mwandishi wa habari wa Rais Msaidizi" Huu uandishi uko sahihi ama? Tunaye Rais Msaidizi katika Tanzania yetu ama?
  5. Lekachonka

    Unaweza kuua ama kufuta vyama vya upinzani lakini hutoweza kuufuta Upinzani Nchini

    Kwa mambo yanayoendelea Nchini ni dhahiri kuwa kuna baadhi ya watu hawauhitaji upinzani Nchini. Juhudi nyingi tumeziona watu hao ama wao wenyewe ama kwa kushirikiana na vyombo vya usalama wakijaribu kwa kila namna kuhakikisha vyama vya upinzani havipewi nafasi ya kusikika na hata kukubaliwa na...
  6. Lekachonka

    Magufuli umekosea kuwapa wachina ujenzi Bagamoyo. Bandari na jeshi ni strategic, economic and security move

    Ni kweli kabisa. Ila kwa usahihi tu. Server za mawasiliano ziko Shanghai na si Beijing
  7. Lekachonka

    Magufuli umekosea kuwapa wachina ujenzi Bagamoyo. Bandari na jeshi ni strategic, economic and security move

    Nchi nyingi za Afrika zitakuja jutia sana huu uwekezaji wa Mchina. Maana yeye kutoa pesa kwa ajili ya kujipenyeza haoni shida na hujificha kwenye kichaka cha masharti nafuu. Kwa vile viongozi wetu wanataka mteremko na hawataki Nchi inayotoa pesa kwa masharti mengi na baadaye inataka ifanye...
  8. Lekachonka

    Rais Magufuli apokea barua kutoka kwa Rais Museveni wa Uganda

    Ni hivi majuzi tu tumetaarifiwa Rais Museveni kumwandikia barua Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli. Hili si jambo jipya na ni jambo la kupongezwa kwani inaonyesha namna gani viongozi hawa walivyo marafiki na wanavyoelewana. Lengo la kuuliza swali hilo ni kutaka kujua kama mwananchi wa...
  9. Lekachonka

    Kusema kwamba Rais Magufuli hashauriki wala hapendi kusemwa ni kumuonea tu mtumishi huyu wa watanzania

    You have a point Bro...Ni kweli tuwe makini sana maana huwezi jua kama ni ufunuo ama la!
  10. Lekachonka

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    Duh! Huyu ni Moses kweli ama ni mtu mwingine? Mwandiko kama wa Moses lkn mawazo kama vile si yake na sipendi kuamini kama siku hizi Moses anawaza namna hiyo. Kwanza kabisa anakiri kuwa kuna tatizo katika utawala huu...lkn kwa vile hatu wale wengine wanafanya makosa basi maovu ya utawala huu...
  11. Lekachonka

    Mtoto wa Mkulima: Si lazima uwe na wanachama wengi ili chama kipendwe

    Kuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia kauli hiyo ya mzee Pinda. Alitoa mfano wa China,anasema alijiuliza kuwa China inao watu takribani 1.3 B ,akataka kujua Communist Party (CP) itakuwa na wanachama wangapi? Anasema alistaajabu sana pale alipokuta chama kina wanachama milioni 80 tu. Ambayo...
  12. Lekachonka

    Nyongeza ya mshahara ya 6,600/= ni dharau kwa wafanyakazi

    Huo ni upotoshaji wa makusudi. Hiyo pesa unayoisema si mpya kwa watumishi. Yawezekana ukawa si mtumishi wa serikali ama sekta binafsi. Ungelikuwa mmoja wa mwajiriwa katika kundi mojawapo hapo juu,bila shaka usingelikuwa na haja ya kuja kulalama humu jukwaani. Maama Annual increment inajulikana...
  13. Lekachonka

    Si sahihi kulinganisha ya Zimbabwe na Tanzania

    Kila mtu amekuwa akitoa maoni yake kulingana na mtazamo wake kisiasa kuhusu Zimbabwe ya Mugabe na hapa kwetu Tanzania. Kuna wanaohusisha moja kwa moja ZANU-PF na CCM na wapo pia wanaomlinganisha Rais Mugabe na Rais Magufuli,lakini pia wapo wanaolinganisha hayo mambo ya Rais Mugabe na...
  14. Lekachonka

    Kampeni ya "Magufuli Baki" yaanzishwa. Yeyote atakayepinga atachukuliwa hatua

    Hiyo hapo iko moja kwa moja...maana kwa muda kama huu Abaki kwa lipi? Kulikuwa na movement iliyokuwa ikifanywa kuhamasisha aendelee kutawala..ghafla watu wanakuja na #BAKI! Hamna haja ya kupepesa macho hapo.
Back
Top Bottom