Recent content by Legend46

  1. Legend46

    SoC03 Elimu hubadili hadhi ya ulimwengu

    mtandao na ilikua pending kupitiwa na wasimamiz
  2. Legend46

    SoC03 Elimu hubadili hadhi ya ulimwengu

    Kikawaida elimu yetu iko katika mtazamo ambao unawanufaisha wachache, mtazamo wangu unagusia maeneo manne (4) ambayo yakiangaliwa na kuboreshwa basi manufaa makubwa yatakua matokeo yake. kama vile:- WAKATI WA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI Kila kitu kinaanzia hapa ambapo kijana anaanza safari ya...
  3. Legend46

    SoC02 Yafanyike haya kuikomboa NHIF

    Hongera kwa mkala yako, mawazo yako ni mazuri na yenye manufaa. Viongozi wanapaswa kuamin kua bima ya afya ni kipaumbele cha nguvu kazi ya taifa, mfuko lazima uwe imara. Viongozi wanapaswa pia kukusanya mawazo nyanja mbali ikiwemo wanaopata huduma. Historia huchangia kujua tatizo limeanzia wapi...
  4. Legend46

    SoC02 Kesho ya Afrika ipo katika mtandao

    Nimependa makala yako ndugu, iko vizuri. Pia nipo wazo. Wakati wa kuiandaa hii ni vyema ukatumia vicha vya habar vido vidog ili kumfanya mtu mwengine awe rahis kuisoma. Badala ya kuiandika moja kwa moja. Kwa style hio mtu anaweza kuisoma kwa haraka na kuifahamu zaidi. Lakini bado sijafahamu...
  5. Legend46

    SoC02 Mabadiliko katika mfumo wa Elimu

    Kikawaida elimu yetu iko katika mtazamo ambao unawanufaisha wachache, mtazamo wangu unagusia maeneo manne (4) ambayo yakiangaliwa na kuboreshwa basi manufaa makubwa yatakua matokeo yake. kama vile:- WAKATI WA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI Kila kitu kinaanzia hapa ambapo kijana anaanza safari ya...
  6. Legend46

    SoC02 Elimu na uhalisia

    Taasisi za elimu lazima zipime uwezo na ujuzi wa wanafunzi na sio kumbukumbu zao. Leo hii mitihani inawasukuma wanafunzi kuhifadhi topic zaidi ili wapasi mitihani yao badala ya kupima ujuzi wao wanaoupata. Matokeo yake wahitimu wanakua na vyeti vizuri lakini uwezo wa ujuzi unakua mdogo. Ndio...
  7. Legend46

    SoC02 Mabadiliko katika mfumo wa Elimu

    Mfumo wa elimu haumuandai mhitimu kutimiza ndoto kwa kiasi kikubwa, hii ni kutokana na kuwepo kwa mzunguko mkubwa wa kusoma kama vile. Wakati wa Elimu ya msingi na sekondari: Kipindi hichi kinaweza kumfikisha kijana miaka 15 hadi 20. Huku ni kumchelewesha kijana kufikia ndoto zake mapema. Kwa...
Back
Top Bottom