Recent content by Leena

  1. L

    Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

    Na huu utendaji kazi wa SIRIKALI yetu wa "KULIWA KWANZA" ndio unasababisha hata MAFISADI kuila [/B]kiurahisi!? Namna hii tutafika kweli....???
  2. L

    Pascal Mayalla apata ajali

    Kama mchangiaji mmoja alivyosema hapo awali, kuna Pikipiki maalum kwa ajili ya masafa marefu. Hata hivyo, wale bikers wanavaa pia SPECIAL COSTUME kwa ajili ya kinga kutokana na ukweli kuwa in case of anything mwili wa biker unakosa kinga nyingine kama ilivyo kwa magari. Pole sana Brother...
Back
Top Bottom