Recent content by lebabu11

  1. L

    CHADEMA imewasaliti Watanzania

    Lazima kuzungumza kueleza unachopigania, hats kama vita ni kali. Kama hutazungumza basi hujui unachopigania.
  2. L

    Afrika ondokeni kwenye mfumo wa Vyama Vingi

    Siasa inataka mtu mmoja mmoja ajitambue, ajue haki na wajibu wake, atetee maslahi yake na walio wengi (taifa), akiwa ndani au nje ya chama cha siasa. Changamoto ya African ni kwa wananchi walio wengi Kutojitambua na hii ndiyo iliyowapeleka mababu utumwani, ukoloni na hata sasa ukoloni mamboleo...
  3. L

    Demokrasia kwa tajiri maana yake ni kumnyonya mwananchi wa kawaida sio kuwa na utawala wa sheria

    Harakati za ukombozi lazima ziwepo duniani kwani wenye nguvu kwa wakati huo huzitumia dhidi ya wasio nazo. Mapambano ya wasionacho dhidi ya wenyenacho ni ya asili na hayaepukiki. Changamoto kubwa kwa waafrika ni kuwa submissive kwa waarabu, wachina, wazungu,.... na matokeo yake ni utumwa...
  4. L

    Polisi: Ni kweli nyeti za wanaume zinaibiwa. Wezi msiwaue

    Changamoto kubwa ni kwamba wapuuzi na wajinga walishapata nafasi za maamuzi na majukwaa ya uma kwa kiwango kikubwa. Kuna kazi kubwa ya kurekebisha jamii na taifa kwa sababu hiyo.
  5. L

    PostGE2025 Kosa la Oktoba 29, 2025 tutalijutia sana

    Hili siyo tatizo la CCM, ni jamii na taifa kuwa na watu wengi wenye fikra za kitumwa. Binadamu lazima wajue tofauti ya loyalty yao na ile ya wanyama kama mbwa. Changamoto ipo huko chini kuliko juu. Tunahitaji kwanza ukombozi wa fikra za watu wetu wakiwemo watumishi wa Uma kabla ya demokrasia...
  6. L

    Uteuzi wa Angela Kizigha kama Magufuli angerejea angemnasa makofi

    Kwa sasa tujadili kwa facts kwa faida ya taifa; Magufuli alisema..... Mama Samia kamteua... Facts za kuthibitisha makosa ya Angela Kizigha ni.... Hiyo itasaidia kutoa personal judgements za haki. Magufuli alitoa zake, Mama Samia ametumia zake kuteua na sisi tutoe zetu baada ya maamuzi ya...
  7. L

    KERO Malalamiko ya "DEED POLL" kwa wasailiwa, yamulikwe ni kosa la uelewa wa baadhi ya watendaji wa serikali

    Changamoto kubwa ni watumishi wengi wa Uma kuwa na fikra za kitumwa, rushwa, kukosa maadili na ujinga ambao husababisha wasiostahili kupata hati, vyeti na nyaraka za kuthibitisha kutoka serikalini. Wageni wengi hupata uhalalisho kuliko raia wa asili (taifa). Kinachoitwa usalama wa taifa hakioni...
  8. L

    Kimara: Polisi walingilia kati kumuokoa aliyepigwa na Wananchi kwa kudaiwa kupoteza nyeti za mtu Mwanaume mmoja

    Watu wa Mungu huangamia kwa kukosa maarifa. Huu upumbavu hauendani na maendeleo yaliyofikiwa kisayansi na teknolojia duniani. Tusikubali jamii zetu na taifa kwa ujumla kujadili huu upuuzi. Watu wenye fikra hizi hawatakiwi kuwepo duniani, zama zao zimepita. Akili na fikra za watu wetu...
  9. L

    Ili kukuza muungano tugawane sawa kwa sawa na Zanzibar

    Kugawana nini? Tanzania ni ya wananchi wa Tanganyika na Zanzibar, wanafanya shughuli zao za kiuchumi kwa kuunganishwa na siasa. Kodi na maliasili zinakusanywa kwa ajili ya wananchi hao kupitia wawakilishi wao na kwa mazingira yao. Kugawana ni kwa wanasiasa na wezi wanaowaibia wananchi kama...
  10. L

    DOKEZO Waandishi wa Habari na Media Tanzania, tunateseka sana! Kosa moja, hukumu mbili, kupitia Sheria mbili, Mamlaka mbili Tofauti!. Ni Haki? Tufanyeje?

    Taasisi yoyote ni watu wanaohusika, kuanzia zilizo na zisizo za kiserikali, za kitaifa hata binafsi. Watu wakiwa wa hovyo, vivyo hivyo taasisi.
  11. L

    Chalamila: Zile Kampuni za kukamata "Wrong Parking" lile ni genge la rushwa

    Changamoto kubwa ni ujenzi holela na kutojua viwango kwa ajili ya barabara. Elimu itolewe hata kama siyo rasmi kwa viongozi, wataalamu, wakandarasi na wananchi kwa ujumla hasa sehemu ambazo hazina mipango miji, upana wa eneo la barabara usipungue mita zifuatazo; 1. Barabara za mitaa ya makazi...
  12. L

    Swali la Kizushi je mtu akipinga mgawanyo wa mali kwenye Muungano serikali itasimamishwa na Mahakama

    Serikali lazima iwe ya watu, iweke utaratibu mzuri wa kutawala, kutunga na kusimamia sheria, kutoa huduma kwa manufaa ya wananchi wote. Mauzauza yoyote nje ya hapo, husababisha migogoro ambayo huhalalisha baadhi ya wananchi(watu) kupambana na serikali. Tusiruhusu taratibu fikra,matamko na hata...
  13. L

    Jafo: Vingunguti, Tandale na Buguruni pavunjwe pajengwe Maghorofa

    Mipango miji itafanikiwa pale fikra za wakazi waliowengi zitakapopangwa. Sheria ndogo zitungwe kwamba ni lazima kila nyumba iwe na njia ya kuifikia yenye upana usiopungua mita 12. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa na watendaji wahakikishe kuna maeneo ya wazi ya serikali kwa ajili ya michezo na...
  14. L

    Ikiwa michango ya fedha za Tundu Lissu ilipokelewa kwa akaunti za Alute Mugwai, Gazeti la Mwananchi linapotosha kwa faida ya nani na ili iweje?

    Kumsaidia kiongozi kuna tafsiri pana sana. Uongozi ni kutoa zaidi kuliko kupokea hasa wakati wa kujenga vyama au taasisi ya uma. Humo humo kwenye vyama wapo watoaji na walaji, ndivyo maisha yalivyo. Chawa lazima waishi kwa damu ya host, kelele hutokea pale pasipo na damu ya kutosha au mwili...
  15. L

    DOKEZO Vyeo vya Mamlaka viwe na ukomo wa umri mwisho uwe miaka 45

    Kuongoza njia lazima uijue na kuipita, kwa ufanisi ni Bora kivitendo zaidi badala ya ndoto. Rubani mzuri ni yule aliyerusha ndege tofauti tofauti na mara nyingi bila changamoto kubwa na nyingi. Vijana waende sambamba na wazee kupata uzoefu. Ni muhimu kujenga jamii kuanzia chini mpaka juu...
Back
Top Bottom