Recent content by lebabu11

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Kazungu ni unyama unaoichafua nchi- Ado Shaibu

    Huu ni wakati sahihi wa kuwaunganisha wananchi wote, bara na visiwani, kuanzia kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, washirikiane kuwabaini wahalifu, wadhibitiwe ili jamii na taifa kwa ujumla lisonge mbele. Kujadili kwa kulaumiana na kuomba msaada ni ujima unaokaribia unyama. Ulinzi...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Kazungu ni unyama unaoichafua nchi- Ado Shaibu

    Uhalifu hauna chama, serikali wala dini. Changamoto kubwa ni kwamba tuhuma zinatajwa kijumlajumla hivyo kuwafanya wahalifu hao kupata kinga ya mwavuli wa makundi hayo. Taifa limeingia kwenye mtego mbaya wa kutuhumu makundi badala ya kushughulika na wahalifu wachache.
  3. L

    JamiiForums Tanzania Ukifuatilia suala la crude oil refinery ya Tanga- utaonatatizo kubwa la washabik na wanachama wa upinzani na CCM wanapenda sana vyama vyao kuliko nchi

    Hakuna mkataba wowote uliosainiwa. MOU ni hatua ya awali ya kuonesha nia tu na heshima kwa mipango ya baadaye. Mradi waweza uwepo au usiwepo baada ya mambo ya kitaalamu kuangaliwa.
  4. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Lazima kuwepo mahali pa kuanzia. Jinai hapa ni mauaji ya watu wengi. Maelezo mengine yote yanazunguka hapo. Huwezi ukamshitaki aliyeongea ukamuacha aliyetenda, vinginevyo hakuna atakayeshitakiwa. Tume itatoa ripoti ambayo itatumika kwenye upatanishi. Zaidi sana kutakuwa na uwajibikaji kiutawala...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania pambaneni kupata Katiba mpya

    Pamoja na katiba iliyopo kuwa na mapungufu yake, tatizo kubwa la siasa za Tanzania siyo hilo, ni watu waovu wasiotii katiba wala sheria wakiwa madarakani. Hili lina msingi kwa watumishi wa uma na vyombo vya dola wahalifu, wajinga na wapuuzi tu (wizi wa kura, sheria mbovu, mikataba mibovu ya...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Natangaza kuidharau hotuba yote ya Emmanuel Nchimbi aliyoitoa leo kwa Wananchi, Imejaa ghiliba na uongo

    Ni rahisi kufaulu mtihani kama utayachambua maswali unayoyaweza kwa urahisi uanze nayo halafu yafuate yenye ugumu. Hata katika harakati za siasa lazima utambue uhalifu dhidi ya uma umejikita wapi. Wengi ni fuata upepo tu, na ukikolea nguvu yao huonekana (upepo ukizoa uhalifu wamo, haki vivyo...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Tungekua na SERIKALI inayojielewa, Makanisa mengi yalowageuza Waumini chanzo cha Mapato yao, Yangefungiwaaa mara Moja, Utakatishaji wa Pesa Umekithiri

    Kinachotakiwa ni kuwafundisha wananchi wasiwe mateka kifikra wa dini na siasa za uchawa. Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu. Shiriki katika ukombozi wako kwa akili na nguvu zako mwenyewe, ukimtegemea Mungu tu.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kashfa ya VITOL inaenda kuwa kubwa kama Ricmond, EPA, Tegeta Escrow na Meremeta

    Shabiby atasema kidogo. Sidhani kama atajitokeza mwingine mwenye kujielewa, kujiamini na kushauri kwenye hili. Ado anaibuka pia, muda utasema.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Hakuna maendeleo ya kudumu bila kujenga watu wenye maadili, uzalendo na uwajibikaji

    Ni muhimu kutenganisha haya mawili kwa mustabali mwema wa jamii na taifa kwa ujumla; 1. Hoja yake (safi, ina mashiko/mbaya, haina mashiko). 2. Mtoa hoja (kiongozi mzuri, anatufaa/mbaya na fisadi, hatufai). Bila kujadili namna hii itakuwa vurugu tupu.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Tunapigwa sana na Wachina 🥲

    Uchawi ni ujinga wa jamii au taifa lenyewe. Kiwango cha marndeleo au ustaarabu huenda sambamba na kupungua kwa imani za kishirikina.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Tuhuma alizotoa Heche kuhusu ufisadi kwenye Uagizaji wa Mafuta ni nzito sana, nashangaa mpaka saa Serikali haijasema lolote

    Kinachotakiwa ni maelezo ya kurekekebisha alichosema Heche. Bei iwe kwa metric tone au barrel siyo tatizo. Cha kuangalia ni tofauti ya bei kwa kipimo hicho hicho. Kama Heche amekosea anarekebishwa, kama ni kweli, maelezo ya kwa nini yatolewe (ambayo kimsingi hayatakuwa na uzito).
  12. L

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kwanini VITOL anatuuzia mafuta kwa usd 260 wakati Uganda anawauzia kwa USD 83 na Msumbiji usd 90?

    Hakuna sababu ya kubishana kama majuha. Tofauti ipo? Kama ipo kwa nini?
  13. L

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kwanini VITOL anatuuzia mafuta kwa usd 260 wakati Uganda anawauzia kwa USD 83 na Msumbiji usd 90?

    Je ni kweli kuna tofauti hiyo kwenye bei?
  14. L

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kwanini VITOL anatuuzia mafuta kwa usd 260 wakati Uganda anawauzia kwa USD 83 na Msumbiji usd 90?

    Hapa ni habari ya bei ya mafuta. Hayo mengine yapeleke kunakohusika.
  15. L

    JamiiForums Tanzania Sudan Kusini yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU, Jakaya Kikwete kabla ya uchaguzi wa kihistoria wa 2026

    Rais mstaafu Kikwete hayupo madarakani. CDF, IGP na DGIS hawapo chini yake. Afanye nini zaidi ya kushauri kimya kimya? Wenye ofisi wawajibike kwa matendo yao. Lawama au ushauri vielekezwe panapohusika kwa ufanisi zaidi.
Back
Top Bottom