Pamoja na Nyerere kuonya, katiba bila watu wa kuilinda ni bure.
Sijawahi kusikia kesi za kuvunja katiba hata hii mbovu inaposiginwa.
Hivyo changamoto kubwa ni watu wa kuitetea katiba kwanza, hata mpya nzuri itavunjwa tu.
Tatizo la Tanzania siyo viongozi au wanasiasa,ni watumishi wa uma na vyombo vya dola wenye fikra za kitumwa.
Katiba, sheria hazina nguvu kama watumishi wa uma ni wapuuzi.
Viongozi wa hovyo hutokana na jamii na watumishi wa uma wa kipuuzi.
Hata yale ya October 29, 2025 ni matokeo ya hali hiyo...
Rais ana madaraka hata kama hajatajwatajwa kusifiwa na kuabudiwa kinafiki.
Huu upuuzi haukuwepo enzi za JK na kurudi nyuma, ulishamiri zaidi awamu ya tano.
Wanafiki hupitia humo humo hata kumletea madhara Rais mwenyewe.
Muhimu kuelewa, taifa ni watu na serikali au viongozi ni sehemu ndogo tu...
Changamoto;
Mbegu za GMO zinatolewa kwa ruzuku. Hii itaweka taifa kwenye hatari kubwa kiusalama.
Kutegemea makampuni ya nje kwa mbegu ni kuweka taifa kwenye risk kubwa ya usalama wa chakula na hats kiulinzi kwa ujumla.
Lazima kuzalisha mbegu ndani za asilimia au chotara zisizo GMO.
Uchumi pia...
Changamoto ya kuangaliwa kwa umakini mkubwa na igeuzwe kuwa fursa yenye faida chanya kwa taifa;
Taifa ni watu, tena wazawa kwa asilimia kubwa na zaidi sana kwa Tanzania ni weusi.
Kwa muda wote huko nyuma, uchumi wa nchi umeshikiliwa na wachache tena ambao utaifa wao unaweza kutiliwa shaka...
Acheni kujadili watu, ni vizuri kujadili idea zao zikiwa supported by facts.
Waliokufa chukueni mawazo yao yaliyokuwa mazuri tuyaendeleze na kuacha yale mabaya.
Kwa nini unanitukana.
Hoja hujibiwa kwa hoja.
Mpumbavu pekee hujibu hoja kwa matusi.
Kama una akili, nikosoe kwa kuonesha nisichokielewa ambacho wewe unaelewa.
Wake up!
Sina hakika, lakini ni muhimu kuwafundisha watoto wetu waweze kujilinda, kulinda jamii na taifa lao.
Kama mapinduzi yakihitajika wafanye.
Hatuhitaji vizazi goigoi, taifa litaangamia.
Jkt unafundishwa ukakamavu, mbinu za medani, kujilinda na kulinda nchi yako.
Uzalendo na ulinzi unaanzia kwako mwenyewe, jamii yako na nchi kwa ujumla.
Kwa hiyo, vijana wakifundishwa vizuri, wataanza na maadui wa ndani kwanza halafu wamalizie na wale wa nje (simple logic).
You nailed it.
Wezi wa kura (baadhi ya watumishi wa serikali, walimu, polisi, ....) kama ulivyo andika ndiyo wabaya kwenye jamii na taifa kwa ujumla kuliko viongozi wa kisiasa.
Bila wao viongozi wabaya wangepungua au kutowepo kabisa.
Watu wenye akili nzuri na timamu hujadili hoja yoyote ile kwa kuangalia facts zilizomo;
1. Uhalifu umefanyika au haujafanyika?
2. Wahalifu wamesughulikiwa kwa mujibu wa sheria?
3. Muswada wa Marekani unalenga kushughulika na wahalifu?
Ili kuilinda na kuthibitisha sovereignty lazima...
Uhalifu hauna cha Mzanzibari au Mtanganyika.
Mtekaji ni mhalifu tu bila kujali ni upande upi wa muungano anapotoka.
Watanzania wote tushirikiane kupinga uovu.
Ushirikiano wa wananchi wa pande zote ni muhimu kijamii, kiuchumi, kiutamaduni na kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.