Huu ni wakati sahihi wa kuwaunganisha wananchi wote, bara na visiwani, kuanzia kaskazini hadi kusini, mashariki hadi magharibi, washirikiane kuwabaini wahalifu, wadhibitiwe ili jamii na taifa kwa ujumla lisonge mbele.
Kujadili kwa kulaumiana na kuomba msaada ni ujima unaokaribia unyama. Ulinzi...
Uhalifu hauna chama, serikali wala dini.
Changamoto kubwa ni kwamba tuhuma zinatajwa kijumlajumla hivyo kuwafanya wahalifu hao kupata kinga ya mwavuli wa makundi hayo.
Taifa limeingia kwenye mtego mbaya wa kutuhumu makundi badala ya kushughulika na wahalifu wachache.
Hakuna mkataba wowote uliosainiwa.
MOU ni hatua ya awali ya kuonesha nia tu na heshima kwa mipango ya baadaye.
Mradi waweza uwepo au usiwepo baada ya mambo ya kitaalamu kuangaliwa.
Lazima kuwepo mahali pa kuanzia.
Jinai hapa ni mauaji ya watu wengi. Maelezo mengine yote yanazunguka hapo.
Huwezi ukamshitaki aliyeongea ukamuacha aliyetenda, vinginevyo hakuna atakayeshitakiwa.
Tume itatoa ripoti ambayo itatumika kwenye upatanishi.
Zaidi sana kutakuwa na uwajibikaji kiutawala...
Pamoja na katiba iliyopo kuwa na mapungufu yake, tatizo kubwa la siasa za Tanzania siyo hilo, ni watu waovu wasiotii katiba wala sheria wakiwa madarakani.
Hili lina msingi kwa watumishi wa uma na vyombo vya dola wahalifu, wajinga na wapuuzi tu (wizi wa kura, sheria mbovu, mikataba mibovu ya...
Ni rahisi kufaulu mtihani kama utayachambua maswali unayoyaweza kwa urahisi uanze nayo halafu yafuate yenye ugumu.
Hata katika harakati za siasa lazima utambue uhalifu dhidi ya uma umejikita wapi. Wengi ni fuata upepo tu, na ukikolea nguvu yao huonekana (upepo ukizoa uhalifu wamo, haki vivyo...
Kinachotakiwa ni kuwafundisha wananchi wasiwe mateka kifikra wa dini na siasa za uchawa.
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu.
Shiriki katika ukombozi wako kwa akili na nguvu zako mwenyewe, ukimtegemea Mungu tu.
Ni muhimu kutenganisha haya mawili kwa mustabali mwema wa jamii na taifa kwa ujumla;
1. Hoja yake (safi, ina mashiko/mbaya, haina mashiko).
2. Mtoa hoja (kiongozi mzuri, anatufaa/mbaya na fisadi, hatufai).
Bila kujadili namna hii itakuwa vurugu tupu.
Kinachotakiwa ni maelezo ya kurekekebisha alichosema Heche.
Bei iwe kwa metric tone au barrel siyo tatizo.
Cha kuangalia ni tofauti ya bei kwa kipimo hicho hicho.
Kama Heche amekosea anarekebishwa, kama ni kweli, maelezo ya kwa nini yatolewe (ambayo kimsingi hayatakuwa na uzito).
Rais mstaafu Kikwete hayupo madarakani. CDF, IGP na DGIS hawapo chini yake.
Afanye nini zaidi ya kushauri kimya kimya?
Wenye ofisi wawajibike kwa matendo yao.
Lawama au ushauri vielekezwe panapohusika kwa ufanisi zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.