Recent content by lebabu11

  1. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Pamoja na Nyerere kuonya, katiba bila watu wa kuilinda ni bure. Sijawahi kusikia kesi za kuvunja katiba hata hii mbovu inaposiginwa. Hivyo changamoto kubwa ni watu wa kuitetea katiba kwanza, hata mpya nzuri itavunjwa tu.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Naamini kwa dhati maudhi na chokochoko za sasa za Wa-Zanzibar ni kutaka kuwaudhi wa-Tanganyika ili muungano uvunjwe. Hatutauvunja Muungano ng'o!

    Tatizo la Tanzania siyo viongozi au wanasiasa,ni watumishi wa uma na vyombo vya dola wenye fikra za kitumwa. Katiba, sheria hazina nguvu kama watumishi wa uma ni wapuuzi. Viongozi wa hovyo hutokana na jamii na watumishi wa uma wa kipuuzi. Hata yale ya October 29, 2025 ni matokeo ya hali hiyo...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Siasa za kumtaja Rais na kumsifia kila mahali hadi kwenye michezo zinaisaidiaje nchi?

    Rais ana madaraka hata kama hajatajwatajwa kusifiwa na kuabudiwa kinafiki. Huu upuuzi haukuwepo enzi za JK na kurudi nyuma, ulishamiri zaidi awamu ya tano. Wanafiki hupitia humo humo hata kumletea madhara Rais mwenyewe. Muhimu kuelewa, taifa ni watu na serikali au viongozi ni sehemu ndogo tu...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Wewe upo hai, rekebisha, achana na marehemu, wafu hawawezi kurekebisha kitu chochote.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Kilimo imeongezeka mara nne, Rais Samia hana deni kwa wakulima

    Changamoto; Mbegu za GMO zinatolewa kwa ruzuku. Hii itaweka taifa kwenye hatari kubwa kiusalama. Kutegemea makampuni ya nje kwa mbegu ni kuweka taifa kwenye risk kubwa ya usalama wa chakula na hats kiulinzi kwa ujumla. Lazima kuzalisha mbegu ndani za asilimia au chotara zisizo GMO. Uchumi pia...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Spika Mussa Hassan Zungu: Mzigo mzito wa barabara Serikali pekee haiwezi shirikisheni Sekta binafsi PPP

    Fafanua kidogo, haigusi nini? Pili, hatujengi barabara kushindana na Kenya, ziwe nyingi na zenye viwango na ubora kwa faida yetu.
  7. L

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia anajenga Uchumi wa kuiingiza nchi "Trillionaire Club" hili ni kundi la matajiri wakubwa wako 19 tu Dunia nzima

    Changamoto ya kuangaliwa kwa umakini mkubwa na igeuzwe kuwa fursa yenye faida chanya kwa taifa; Taifa ni watu, tena wazawa kwa asilimia kubwa na zaidi sana kwa Tanzania ni weusi. Kwa muda wote huko nyuma, uchumi wa nchi umeshikiliwa na wachache tena ambao utaifa wao unaweza kutiliwa shaka...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Acheni kujadili watu, ni vizuri kujadili idea zao zikiwa supported by facts. Waliokufa chukueni mawazo yao yaliyokuwa mazuri tuyaendeleze na kuacha yale mabaya.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Tujihoji kwa busara: Kuwapeleka Gen Z kwa lazima JKT kutaepusha kama yaliyotea Oktoba 29 au ndio itachochea zaidi? Maana tatizo sio uzalendo

    Kwa nini unanitukana. Hoja hujibiwa kwa hoja. Mpumbavu pekee hujibu hoja kwa matusi. Kama una akili, nikosoe kwa kuonesha nisichokielewa ambacho wewe unaelewa. Wake up!
  10. L

    JamiiForums Tanzania Tujihoji kwa busara: Kuwapeleka Gen Z kwa lazima JKT kutaepusha kama yaliyotea Oktoba 29 au ndio itachochea zaidi? Maana tatizo sio uzalendo

    Sina hakika, lakini ni muhimu kuwafundisha watoto wetu waweze kujilinda, kulinda jamii na taifa lao. Kama mapinduzi yakihitajika wafanye. Hatuhitaji vizazi goigoi, taifa litaangamia.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Tujihoji kwa busara: Kuwapeleka Gen Z kwa lazima JKT kutaepusha kama yaliyotea Oktoba 29 au ndio itachochea zaidi? Maana tatizo sio uzalendo

    Jkt unafundishwa ukakamavu, mbinu za medani, kujilinda na kulinda nchi yako. Uzalendo na ulinzi unaanzia kwako mwenyewe, jamii yako na nchi kwa ujumla. Kwa hiyo, vijana wakifundishwa vizuri, wataanza na maadui wa ndani kwanza halafu wamalizie na wale wa nje (simple logic).
  12. L

    JamiiForums Tanzania Kuna ongezeko kubwa sana la chuki kutoka kwa wananchi kwenda kwa viongozi wao

    You nailed it. Wezi wa kura (baadhi ya watumishi wa serikali, walimu, polisi, ....) kama ulivyo andika ndiyo wabaya kwenye jamii na taifa kwa ujumla kuliko viongozi wa kisiasa. Bila wao viongozi wabaya wangepungua au kutowepo kabisa.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Section No 5 kwenye muswada wa Maseneta wa Marekani ni msiba mzito kwa CCM na Serikali yake

    Watu wenye akili nzuri na timamu hujadili hoja yoyote ile kwa kuangalia facts zilizomo; 1. Uhalifu umefanyika au haujafanyika? 2. Wahalifu wamesughulikiwa kwa mujibu wa sheria? 3. Muswada wa Marekani unalenga kushughulika na wahalifu? Ili kuilinda na kuthibitisha sovereignty lazima...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Shigongo: Biashara za Wazawa Kariakoo zinafungwa, tutunge sheria Biashara chini ya Bilioni 50 isifanywe na Wageni

    Fikra hizi ni za msingi sana katika ujenzi wa taifa. Lazima wananchi wamiliki uchumi wao.
  15. L

    JamiiForums Tanzania Jumbe Kutekwa na Genge la Wazanzibari, Wamarekani Walikuwa Sahihi Kuogopa Zanzibar Ikiachwa Itakuwa Nyumba Ya Magaidi

    Uhalifu hauna cha Mzanzibari au Mtanganyika. Mtekaji ni mhalifu tu bila kujali ni upande upi wa muungano anapotoka. Watanzania wote tushirikiane kupinga uovu. Ushirikiano wa wananchi wa pande zote ni muhimu kijamii, kiuchumi, kiutamaduni na kisiasa.
Back
Top Bottom