Recent content by Leah dickson

  1. L

    Natafuta chumba cha kupanga Mwanza

    ndo mwenye nyumba au ni dalali?
  2. L

    Natafuta chumba cha kupanga Mwanza

    Wana jf Natafuta chumba cha kupanga mwanza kiwe double room na bei isizidi elfu 50 kwa mwezi kwa yeyote mwenye taarifa anitaarifu kwa namba 0759503092
  3. L

    Nimekataa kutoa rushwa ili niajiriwe, meneja kanitukana

    Nilijaribu kutuma ili nione jina niakaona anaitwa Albat John ila ndo simfaamu
  4. L

    Nimekataa kutoa rushwa ili niajiriwe, meneja kanitukana

    Ni cku chache zimepita toka nipost ombi langu la kaz hum jf basi leo nilipigiwa cm na mtu aliyedai yy ni meneja wa coca hapa mwanza na alidai yeye haitaji rushwa ya ngono bali anahitaji pesa kama elfu 50 nilimwambia cna mm nina elfu 20 meneja huyo bila waswas alitaka nimtumie hela hiyo kwenye...
  5. L

    Kwa walioko mwanza

    Natafuta kazi yoyote halalali katika mkoa wa mwanza kwa aliye na kazi nisaidie
  6. L

    Kwa walioko mwanza

    ndio naweza
  7. L

    Kwa walioko mwanza

    Mm Leah Dickson nipo mwanza natafuta kazi inayoendana na elimu yangu, elimu yangu ni kidato cha nne.
  8. L

    Kwa walioko mwanza.

    Habari zenu wapendwa,mm ni msichana wa miaka 20. Natafuta kazi yoyote Mwanza sichagui wala sibagui, elimu yagu ni kidato cha nne pamoja na corse ya ualimu wa chekechea, naombeni msaada wenu. Namba yangu ni 0759067037
Back
Top Bottom