Recent content by Le Havre

  1. L

    Ofa ya out ya Iddi kwa dada zangu wa hapa MMU-South Beach Kigamboni

    South Beach usalama ni wa uhakika sana.
  2. L

    Ofa ya out ya Iddi kwa dada zangu wa hapa MMU-South Beach Kigamboni

    You are welcome welcome.Confirm ujio wako pm tafadhali
  3. L

    Ofa ya out ya Iddi kwa dada zangu wa hapa MMU-South Beach Kigamboni

    Kipekee kabisa Idi ya leo nitapreferer kutoka out na mwanafamilia mwenzangu wa MMU,mwenye jinsia ya kike.Destination ni South Beach Kigamboni,costs za usafiri,meals,drinks etc nitacover mimi.Naomba nieleweke strictly sihitaji mchepuko just rafiki tu wa kubadilishana nae mawazo siku hii...
  4. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Keravnos v Cluj Napoca.Cluj napoca hawa ni Waromania na ofcoz ni team nzuri hasahasa kwenye ligi yake ya ndani though kwenye international games ni wa kawaida sasa ni bahati mbaya anakutana na hawa Wacyprus-Keravnos ambao msimu huu ni unbeaten in 10 consecuctive games akiwa nyumbani in all...
  5. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sawa mkuu hakuna neno.Twende kwenye game ya Buducnost v Trento.Buducnost anatoka Montenegro na ni moja ya team zilizo on fire msimu kwenye international games.Buducnost katika mechi 20 alizocheza nyumbani kwake msimu amepoteza mbili tu tena Lokomotive Kuban Krasnodar(hili ni jabali la basket...
  6. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Strausbourg ni team hatari sana inapokuwa home.Na leo anacheza nyumbani kwake tena akitoka kupoteza game mbili za michuano hii.Na anayecheza nae ni Venizia toka Italy ambae mechi za away kwake ni tatizo.But hata hivyo in general team za France kama Strasbourg,Nantere,Monaco,LePotel zni superior...
  7. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapana ina maana ya OverTime.Yaani full time wanaweza walingana idadi ya basket so wanaongezewa extra time ili mshindi apatikane
  8. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu ahsante kwa ushauri but nikuhakikishie mi ni mzoefu wa miaka mi4 sasa kwenye basket...nimewekeza muda mwingi sana kwenye industry hii ya Basketball.Then option ambayo unaweza kuitabiri precisely kwenye kikapu ni direct win tu na si kingine.Hizi under na over ni purely by chance.
  9. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu ahsante kwa ushauri but nikuhakikishie mi ni mzoefu wa miaka mi4 sasa kwenye basket...nimewekeza muda mwingi sana kwenye industry hii ya Basketball.Then option ambayo unaweza kuitabiri precisely kwenye kikapu ni direct win tu na si kingine.Hizi under na over ni purely by chance.
  10. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mechi zote cheza 2 way...yaani Home including OT ama kama ni Away basi iwe Away including OT.Usiiache hii pesa tafadhali
  11. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu hizi hapa odds 10 za basket nimejiridhisha baada ya kuzifanyia analysis ya kutosha Torino v Lietuvos Rytas-2 (1.88) Keravnos v Cluj Napoca-1(1.70) Buducnost v Trento - 1 (1.60) Bakken v Szolnoki- 2 (1.80) Strasbourg v Venezia-1 (1.32) Mechi zote zinapatikana kwenye European leagues...
  12. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Shukrani kwa uchambuzi Murua mkuu...kwa ushauri wako ilinibidi niisubiri hii game na imetoa..tena kwa kishindo.Kiukweli international games za Basket zinatoa sana na zinatabirika kwa wepesi...kuanzia Euroleague,Eurocup,Europa Champions league,Euroleague women,ABA league,ABA 2,na VTB league zote...
  13. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilimpa 2 way...yaani Home including OT
  14. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Waheshimiwa nina mkeka wa meridianbet nilicheza basket pekee mechi 8,niliunganisha za jana na ya leo moja.Za jana 7 zote zimetick.Bado game moja tu ya Euroleague PANATHINAIKOS Vs BARCELONA,saa 4 usiku..nilimpa Panathinaikos ushindi.Wenye maarifa na hizi game za Euroleague tafadhali nishaurini...
Back
Top Bottom