Recent content by lazar

  1. L

    Askofu Kilaini: Nitazirejesha fedha za Rugemalira

    Bora zingewekwa kwenye A/C ya kanisa sasa ya kwake? Huo ulikuwa mgao tu asituzuge
  2. L

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Nyie voda mjirekebishe hivi kweli mtu unakuwa umejiunga kifurushi kweli hata mtu akitumia sekunde 20 mnahesabu ni dakika mna umaskini gani kiasi hicho? Badilikeni kuna kipindi mlianza kufanya hvyo then mkaacha, tena mmeanza
  3. L

    Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii,Wafanyakazi wa umma na wasio wa umma kufa masikini

    Inasikitisha kwa kweli hawa jamaa wataipitisha ngoja tuone
  4. L

    Vinanda vinauzwa

    Vinanda bado unavyo?
Back
Top Bottom