Habari zenu wakuu!
Kwa watu ambao mmewahi kusoma nchi za nje au ambao mmeshawahi kufatilia kuhusu haya mambo, ni dhahiri mnafahamu kuwa ili mtu upewe nafasi ya kusoma chuo cha nje lazima uwahakikishie unajiweza kifedha na unaweza fanya ivo kwa kuonesha bank statement yenye kiasi cha fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.