Mleta uzi utuambie ww unalipwa sh. kueneza ujumbe huu???
kama unaweza basi na wewe tangaza nia basi uwe rais???
Na kama una uchungu sana jifungue basi tuone.
Acha kuleta taarifa za kwenye kashata wewe. We ni nani mpaka mtu awashwe kuja kukuambia maneno hayo??? Kama unamlipa hela kwa kazi hiyo fukuza kazi huyo ni mchumia tumbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.