Recent content by Lastborn Wa Taifa

  1. L

    Luhaga Mpina Hana Vigezo vya Kugombea Urais Hii Ndiyo Sababu kiundani na ningeshanga sana kukubaliwa

    Thread: Luhaga Mpina Hana Vigezo vya Kugombea Urais Hii Ndiyo Sababu kiundani na ningeshanga sana kukubaliwa 1.Muda wa Uanachama Ulikosekana Kanuni za ACT WAZALENDO zinahitaji mwanachama awe na siku 30 kabla ya uteuzi. Mpina alijiunga tarehe 5 Agosti, akateuliwa siku moja baadaye tarehe 6...
  2. L

    Nishati safi kwa Watanzania

    Serikali ya Awamu ya Sita imeonyesha dira ya maendeleo kupitia mageuzi makubwa katika sekta ya nishati safi ya kupikia. Kuanzia mwaka 2021, hatua kadhaa zimechukuliwa ili kupunguza utegemezi wa mkaa na kuni, kulinda afya za wananchi na mazingira, na kuongeza fursa za kiuchumi. 1. Upatikanaji wa...
  3. L

    Nafasi ya viongozi wa dini katika kuunganisha taifa na kuhubiri zaidi amani nchini nchini

    “Niwaombe viongozi wote wa dini hapa nchini kuendelea kuhubiri Amani, Utulivu na Upendo kwa waumini wenu na kuwa kiunganishi ili jamii iweze kuondokana na migogoro isiyokuwa na tija. ” Rais Dkt Samia Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia amekuwa akisisitiza sana viongozi wa dini...
Back
Top Bottom