Recent content by Last_Joker

  1. Last_Joker

    Tanzania mbioni kutunga Sheria za Fedha za Kiislamu kuwavutia wawekezaji wanaofuata Sharia. Rasimu imekamilika, tayari kwenda Bungeni

    Hii ni good move sana kwa uchumi wetu! 🇹🇿 Watu wengi wakisikia “Fedha za Kiislamu” wanafikiri ni mambo ya dini tu, lakini ukweli ni kwamba ni mfumo wa fedha ulio makini, salama na unaolinda mtumiaji dhidi ya riba na ulaghai. Kwa kifupi: Haulazimishi mtu kubadilisha dini — ni option kwa yeyote...
  2. Last_Joker

    Kizazi cha Memos na Quotes: Tunapona Kisaikolojia au Tunaishi kwa Uongo?

    Kila siku ukiamka na kufungua WhatsApp status, Instagram story au Facebook timeline, lazima utakutana na mojawapo ya hizi au mfano wa hizi: “I choose peace over everything.” “Not everyone deserves access to me.” “I’m healing silently.” “If it costs me my peace, it’s too expensive.” Yaani dunia...
  3. Last_Joker

    Kujiamini kwa Mwanamke wa Leo: Ni Kiburi au Ni Hatua ya Ukombozi?

    Nipe direction nije kutoa mahari chap :D :D :D :D
  4. Last_Joker

    Kujiamini kwa Mwanamke wa Leo: Ni Kiburi au Ni Hatua ya Ukombozi?

    Wacha weeee, hii bibiharusi kwamaana tayari mpunga ushaliwa au tusubir kadi za mualiko
  5. Last_Joker

    Kujiamini kwa Mwanamke wa Leo: Ni Kiburi au Ni Hatua ya Ukombozi?

    Mambo yashakuwa Vuta N'kuvute. hahahaha
  6. Last_Joker

    Kujiamini kwa Mwanamke wa Leo: Ni Kiburi au Ni Hatua ya Ukombozi?

    Na walinyanyaswa hasa, sababu zikiwa tamaduni, kukosekana kwa elimu n.k ila sasa washaamka ijapokuwa nao walioamka wameamkia pabaya wengine. Muhimu mwanamke asikandamizwe na asijikandamize, kila mmoja aheshimu mipaka ya mwenziwe na hii iwe kwa ngazi zote kuanzia familia mpaka jamii yote
  7. Last_Joker

    Kujiamini kwa Mwanamke wa Leo: Ni Kiburi au Ni Hatua ya Ukombozi?

    Ili kusiwe tatizo inabidi huyu mwanamke aandaliwe vyema ili aje kuwa mkombozi na sio mtumwa.
  8. Last_Joker

    Kazi ya Kuajiriwa vs Kujiajiri: Uhuru wa Fedha au Mateka wa Ndoto?

    Tena kubaya sana, tuombe Mungu mabo yasiende kombo kwa vizazi vyetu vijavyo
  9. Last_Joker

    Kazi ya Kuajiriwa vs Kujiajiri: Uhuru wa Fedha au Mateka wa Ndoto?

    Muhimu waje ili tupate manufaa na wanachokijua. Au kama vipi watagiwe wanaojulikana.
  10. Last_Joker

    Kazi ya Kuajiriwa vs Kujiajiri: Uhuru wa Fedha au Mateka wa Ndoto?

    Hakika kikubwa tu akili iwe salama maana siku hizi afya ya akili imekuwa janga na sababu zikiwa ni kazi na mahusiano
  11. Last_Joker

    Kazi ya Kuajiriwa vs Kujiajiri: Uhuru wa Fedha au Mateka wa Ndoto?

    Ndio jamii yetu ndugu, weka uzi wa masuala ya ngono na entartainment zingine uone wadau wakijaa. Ila tutafika tu
  12. Last_Joker

    Kazi ya Kuajiriwa vs Kujiajiri: Uhuru wa Fedha au Mateka wa Ndoto?

    Ni kweli kabisa, kama ilivyo kuajiriwa sio kwa kila mtu.
  13. Last_Joker

    Kazi ya Kuajiriwa vs Kujiajiri: Uhuru wa Fedha au Mateka wa Ndoto?

    Kikubwa ni kurudhika ikiwa unaridhika nacho basi hakuna mashida, we pambana tu ndugu. Muhimu mkono unacheza huku kichwa kikiwa na amani.
Back
Top Bottom