Recent content by Laser msera

  1. L

    Msaada: Vyuo vinavyotoa Bachelor of Science with Education vyenye ada nafuu

    St Joseph university ada yake ni ya kawaida Kwa upande wa education kama vyuo vingne Vya serikali I mean 1.3M
  2. L

    Update Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu!

    Me naona ukikosa mkopo kwenye batch zote ni vizuri we nenda chuo then subiri dirisha la kuaapeal ukiapeal lazma upate mkopo 100% maana Kuna baadhi uwa wanafanyiwa allocation lakini chuo awaendi either tuition fee walipata ndogo ivyo basi pesa ikiludi Kule bodi wanapewa yote waliokuwa wamekosa...
  3. L

    Update Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu!

    Sisi kipindi tunaanza first year 21/22 rulipewa ada wengi wetu ilikuwa laki4 na mia5 hila ilivyofika mwaka wa pili semister 1 tukapewa Ada yote
Back
Top Bottom