Umechanganyikiwa..
Katiba inasemaje ikiwa rais aliyeko madarakani atafariki kabla ya kumaliza kipindi chake na inasemaje kuhusu makamu wa rais atakapokalia kiti cha urais pale rais atakapofariki kabla ya kutimiza miaka 5.
Soma hivyo vifungu then rudi humu
Huyu ni mnafiki wa kutupwa.
Magufuli ndo aloasisi utekaji na uuaji, ujambazi na unyang'anyi, chuki za kikabila na kidini pia
Aliasing ukabila ndo maana wasukuma walitawala kila sekta, alituma watu kupita nyumba kwa nyumba usukumani kuulizia kama kuna mtu alosoma ili awape kazi wasukuma wenzake...
Nikupe tuu taarifa.
Yeye na ummy zilikuwa hazipandi. Ummy ndo alikuwa anamdharau na kumfitini hadi mama akamteua Dotto.
Basdae mama alikuja kujua ni fitna pale alipotumiwa clip ya ummy akimsema bibaya mama na na akamtumbua ila tayari alishamteua Doto na hapo imani ikamrejea mama kwa Kassinu
Nafasi walipewa, Mwamba Mbowe akatumia busara zake kushiriki.
Wehu Lisu na Lema kama kawaida yao wakaanza fitna kuwa mbowe analamba asali na ndo mwanzo wa kuvunjika majadiliano.
Sasa wewe unataka mama awasikilize ktk nini au unataka wabebwe migongoni na kulambwa miguu.
Wacha watandikwe za matakoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.