Recent content by laptop68

  1. L

    Wazee wameamua kuongea waziwazi sasa

    2015_21 mbona uliufyata?
  2. L

    GE2025 Hivi wanaCCM mnaelewa madhara ya mabadiliko madogo ya katiba yenu mlioyapitisha leo?

    Ndipo nilipoamini m ccm ni maboya yanashangilia kizwaswa bila kujua lengo ni kizimkazi kuteua watu wake
  3. L

    GE2025 Wanaopinga uteuzi wa Samia wataje wagombea wao ili tumpime

    Umechanganyikiwa.. Katiba inasemaje ikiwa rais aliyeko madarakani atafariki kabla ya kumaliza kipindi chake na inasemaje kuhusu makamu wa rais atakapokalia kiti cha urais pale rais atakapofariki kabla ya kutimiza miaka 5. Soma hivyo vifungu then rudi humu
  4. L

    Kwanini polepole hakujiuzulu kwenye uongozi wa magufuli kama kigezo ni utawala bora wa kidemokrasia?

    Kwendraaaaa huko. Magufuli alitaka wengi wafanye kazi kwa faida ya kikundi kidoogo cha kisukuma, nenda chato ndo utamjua nduli jpm
  5. L

    Kwanini polepole hakujiuzulu kwenye uongozi wa magufuli kama kigezo ni utawala bora wa kidemokrasia?

    Huyu ni mnafiki wa kutupwa. Magufuli ndo aloasisi utekaji na uuaji, ujambazi na unyang'anyi, chuki za kikabila na kidini pia Aliasing ukabila ndo maana wasukuma walitawala kila sekta, alituma watu kupita nyumba kwa nyumba usukumani kuulizia kama kuna mtu alosoma ili awape kazi wasukuma wenzake...
  6. L

    Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

    Ni KARMA. ALIKUWA ANAMFITINI SANA MAJALIWA IKAFIKA WAKATI MAMA AKATAKA KUMLA KICHWA MAJALIWA. MWISHO WAKE YEYE KALIWA.
  7. L

    Shekhe Mziwanda awa-challenge Wakatoliki kutoa rekodi za CCTV ili aliyemshambulia Fr.Kitima ajulikane

    We ni mwehu. Ni lini na wapi cctv camera zimeweza kusaidia kupatikana mhalifu wa tukio la kizani. Wewe na huyo shehe ubwabwa wote mko sawq
  8. L

    PreGE2025 Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa akiaga Bunge

    Nikupe tuu taarifa. Yeye na ummy zilikuwa hazipandi. Ummy ndo alikuwa anamdharau na kumfitini hadi mama akamteua Dotto. Basdae mama alikuja kujua ni fitna pale alipotumiwa clip ya ummy akimsema bibaya mama na na akamtumbua ila tayari alishamteua Doto na hapo imani ikamrejea mama kwa Kassinu
  9. L

    Elewa vita ya Ndani ya Mbowe na Lisu ilivyozalisha No reform no election na kuzuia CHADEMA isishiriki uchaguzi

    Ndyo ukweli ila wewe jitahidi watu wasijue una mtindio wa ubongo
  10. L

    Fumigation iliyopulizwa CHADEMA iongezwe, bBado kuna wadudu wanatambaa!

    Huo ni wehu, chama kimeanza kuoza na kinaliwa na funza.
  11. L

    CHADEMA ina mwezi na nusu tu wa kufanya siasa!

    Kura yako haisaidii kitu. Mama mitano tena
  12. L

    PreGE2025 Iwapo rais ataamua kuwasikiliza washindani wake kisiasa hana atakachopoteza sana sana atatambulika kama shujaa wa maridhiano na demokrasia

    Nafasi walipewa, Mwamba Mbowe akatumia busara zake kushiriki. Wehu Lisu na Lema kama kawaida yao wakaanza fitna kuwa mbowe analamba asali na ndo mwanzo wa kuvunjika majadiliano. Sasa wewe unataka mama awasikilize ktk nini au unataka wabebwe migongoni na kulambwa miguu. Wacha watandikwe za matakoni.
Back
Top Bottom