Recent content by Lapjuu

  1. L

    Rais Magufuli ajitetea kukua kwa Deni la Taifa. Adai kuwa tajiri lazima ukope, kuwa na madeni sio dhambi

    Kwa serikali hii "trust no body" Nimeamini albadiri si kitu cha sport sport. Mfano wanakamata mifugo mbugani kisheria kama wanavyosema. Ikifa oh! iachieni. Ina maana hamkujua kwamba mifugo bila malisho itakufa?"Nchi wamekabidhiwa washamba"
  2. L

    Usiogope wanavyomshangilia

    Kama huyu wa kwetu alivyofanya baada ya TL kushambuliwa.
  3. L

    Kama mpaka muda huu Serikali Iliyopo Madarakani Haijakugusa Basi kutakuwa na tatizo..

    Imenigusa kwa kunichukulia mngese wangu bashite, Siku hizi kiboga sipati tena.
  4. L

    Serikali yawaadhibu mabosi 1595 kwa kusababisha kuajiriwa kwa watumishi hewa

    Single hii ni akapella, tuwatengenezee bit.
  5. L

    Kila kitu upinzani tunakosoa, je ninyi CCM yapi mnamkosoa Rais au hajawahi kukosea?

    Labda uniambie ulishirikiana na Lubuva kuwabeba.
  6. L

    Kila kitu upinzani tunakosoa, je ninyi CCM yapi mnamkosoa Rais au hajawahi kukosea?

    Ukiwa m ccm lazima uwe chizi. Unaweza hata kumuua babako anapoikosoa ccm.
  7. L

    Chato, Geita: Rais Magufuli yupo likizo kijijini kwao Lubambagwe

    Unajiaminisha pumba, hivi huunganishi doti kwanini bashite anautajiri wa ghafla na ndiye kipenzi chake. Je hawapo pamoja? Au unadhani ni mshamba ya pa unyeo?
  8. L

    Chato, Geita: Rais Magufuli yupo likizo kijijini kwao Lubambagwe

    Kweli, maana kila akifunua domo kuongea ni uozo mtupu. Anaweza akaamuru krismas ifutwe.
  9. L

    Baada ya kushindwa kushindana na Rais Magufuli kwa hoja, upinzani waja na mbinu za kuhujumu uchumi

    Anayewatuma watu kwenda kutibiwa. Unajua ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbukumbu.
  10. L

    Baada ya kushindwa kushindana na Rais Magufuli kwa hoja, upinzani waja na mbinu za kuhujumu uchumi

    Wanaoitetea serikali hii eidha ni wachumia matumbo au wanajitoa akili kumfurahisha mshamba juma pamba maharage.
Back
Top Bottom