Kwa serikali hii "trust no body" Nimeamini albadiri si kitu cha sport sport. Mfano wanakamata mifugo mbugani kisheria kama wanavyosema. Ikifa oh! iachieni. Ina maana hamkujua kwamba mifugo bila malisho itakufa?"Nchi wamekabidhiwa washamba"
Unajiaminisha pumba, hivi huunganishi doti kwanini bashite anautajiri wa ghafla na ndiye kipenzi chake. Je hawapo pamoja? Au unadhani ni mshamba ya pa unyeo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.