Kuwajibu ni busara na kuwajibu majibu yote ni majibu. Kinachonishangaza kama barua wanapewa wao na kusambaza mitandaoni hii kuonyesha pia kutojiamini. KKKT haitakiri ujinga wa serial.
SIKU mtawala akiaanza kukimbizana na viongozi wa dini ujue utawala wake uko mwishoni. Soma watawala wote waliangushwa baada ya kulewa madaraka na kuanza kupambana na dini. Ufalme umekaribia kuanguka.
Msikasirike sana maana mwisho was Nebukadrenesa umefika.
I was there like not less than three hours today but the other like masaa mawili hivi. Ni msafiri wa mara kwa mara ndiyo maana ndugu. Lkn pia nimesema na wengine wanaweza pia kuchunguza sio lazima niwe sawa.
I just noticed in couple of days that Julius Nyerere Internatinal Aiport is not as busy as we used to see in the past. Like today i only saw one International flight. May be someone can also probe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.